PreGE2025 Ally Hapi: Rais Samia alifungua mlango kuwasikiliza, sasa hivi kimetokea nini?

PreGE2025 Ally Hapi: Rais Samia alifungua mlango kuwasikiliza, sasa hivi kimetokea nini?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,230
Ally Hapi amesema kila jambo linawakati wake, wakati Rais Samia amefungua milango kuwasikiliza kama wananchi wengi wanahaki ya kusikilizwa.

Sasa tatizo la wenzetu ni moja tu wanazani wapinzania wa nchi hii wanamilki ukweli, wanamiliki haki, na wanamilki busara, ili upate busara Nchi hii ni yale wanayo yasema wapinzani. Mtu yoyote ambaye si mpinzani hiyo sio busara sasa uwezi kuonyesha ukweli au haki ni yako tu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Bado hajasema. Sisi tunasubiri tu kuona huu udikteta mpya wa kuua, kuteka, kufunga, kutesa, na kupoteza watu utadumu mpaka lini.
 
Ally Hapi amesema kila jambo linawakati wake, wakati Rais Samia amefungua milango kuwasikiliza kama wananchi wengi wanahaki ya kusikilizwa.

Sasa tatizo la wenzetu ni moja tu wanazani wapinzania wa nchi hii wanamilki ukweli, wanamiliki haki, na wanamilki busara, ili upate busara Nchi hii ni yale wanayo yasema wapinzani. Mtu yoyote ambaye si mpinzani hiyo sio busara sasa uwezi kuonyesha ukweli au haki ni yako tu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

atuambie ile kauli yake ya kuwa Zitto auawe vipi aliitoa kwa kigezo gani cha haki na busara!?Yeye atulie vyeo ni vingi sana nchi hii atapewa.Bila shaka ameonja joto la kilimo sasa kakumbuka kiyoyozi cha bure Serikalini asihofu,mwambieni atapewa cheo muda si mrefu lakini si lazima aropoke
 
Siku mkianza kuuana huko ccm ndiyo mtajua mmechelewa.

Siasa ni itikadi na mitazamo ambao unabadilika kwa sababu nyingi.
 
Huyu nae atulie, mbona atalamba teuzi very soon, maana hapo kwa jumuia anaona hapamfai. Lol
 
Maza alinyoosha mkono wa maridhiano,mmempanda kichwani,acheni awachue kwa karafuu
Huyo maza wako ni wakala wa Ibilisi. Kwa mtazamo wake, what’s wrong with the opposition’s call for meaningful electoral reforms to make our elections free and fair?
 
Haka kametoka wapi? Hakana hata nyama
 
Ally Hapi amesema kila jambo linawakati wake, wakati Rais Samia amefungua milango kuwasikiliza kama wananchi wengi wanahaki ya kusikilizwa.

Sasa tatizo la wenzetu ni moja tu wanazani wapinzania wa nchi hii wanamilki ukweli, wanamiliki haki, na wanamilki busara, ili upate busara Nchi hii ni yale wanayo yasema wapinzani. Mtu yoyote ambaye si mpinzani hiyo sio busara sasa uwezi kuonyesha ukweli au haki ni yako tu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mama Samia hakustahili kuwa rais wa hii nchi, it came to her as an accident na it is an accident now kwani anaonyesha kabisa kuwa hajakomaa kisiasa, Kikwete na Mze Makamba wanamlostisha mno ili kumuangusha kisiasa. Mama kachanganikiwa mpaka anatumia vilaza kama Steve Nyerere, Dotto Magari na Mwijaku as washauri wake wakuu, seriously?
 
Huyo maza wako ni wakala wa Ibilisi. Kwa mtazamo wake, what’s wrong with the opposition’s call for meaningful electoral reforms to make our elections free and fair?
Mama hana hoja, anaogopa mabadiliko as yatamu-implicate yeye na wezi wenzie wa CCM. Wananchi wamechoka ujinga, tunataka kushikisha adabu viongozi wezi waliopita na hawa waliopo maarakani hivi sasa. Hii nchi ni ya Watanzania si mali ya mtu binabfsi.
 
Mama hana hoja, anaogopa mabadiliko as yatamu-implicate yeye na wezi wenzie wa CCM. Wananchi wamechoka ujinga, tunataka kushikisha adabu viongozi wezi waliopita na hawa waliopo maarakani hivi sasa. Hii nchi ni ya Watanzania si mali ya mtu binabfsi.
Anadanganyika na short-term payoffs. Hii ilikuwa golden opportunity ya kuweka historia iliyotukuka, kwa kujenga demokrasia ya kweli nchini. Angekumbukwa siku zote kama mama wa demokrasia nchini.
 
Ally Hapi amesema kila jambo linawakati wake, wakati Rais Samia amefungua milango kuwasikiliza kama wananchi wengi wanahaki ya kusikilizwa.

Sasa tatizo la wenzetu ni moja tu wanazani wapinzania wa nchi hii wanamilki ukweli, wanamiliki haki, na wanamilki busara, ili upate busara Nchi hii ni yale wanayo yasema wapinzani. Mtu yoyote ambaye si mpinzani hiyo sio busara sasa uwezi kuonyesha ukweli au haki ni yako tu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hiki kijitu takataka njaa imepanda mmpaka kwenye medulla oblongata, kiko kama zuzuz tu! stupid mavi
 
Ally Hapi amesema kila jambo linawakati wake, wakati Rais Samia amefungua milango kuwasikiliza kama wananchi wengi wanahaki ya kusikilizwa.

Sasa tatizo la wenzetu ni moja tu wanazani wapinzania wa nchi hii wanamilki ukweli, wanamiliki haki, na wanamilki busara, ili upate busara Nchi hii ni yale wanayo yasema wapinzani. Mtu yoyote ambaye si mpinzani hiyo sio busara sasa uwezi kuonyesha ukweli au haki ni yako tu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sijaelewa alichoongea huyu mchumia tumbo
 
Back
Top Bottom