Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Am speechless
Tulilia wengi alipoteseka gerezani
Tulihuzunika sana alipolazimishiwa makosa ya uongo ili apotezwe.
Tumepigana wengi Mdude chadema kuwa huru.
Alipotoka jela alistahili yafuatayo;
1-Akaione familia yake akae nayo kwa muda
2-Apata physician amfanyie check up ya afya yake kwa kina (muda aliokaa gerezani ni mwingi sana).
3-Apatikane psychologist akae nae kumjenga kisaikolojia ili akitoka kuingia kwenye harakati aingie akiwa imara kimwili, kiakili na kimaono.
Kuendelea kumpatia kipaza sauti mapema haya SIONI TUNACHOJENGA, SIONI TUKIMSAIDIA, SIONI TUKIMPENDA MDUDE!
Sio lazima mnielewe na sio lazima mfanye hili ila TUFIKIRIE MAUMIVU TULIYOPITIA KAMA TUNA UTAYARI WA KUYAPOKEA TENA.
Alitufunza Mkiti freeman mbowetz kwamba tuyakatae mauti, tuivuke mitego inayotegwa kwetu kuturudisha nyuma maana hakuna faida kufa ama kusota jela. Tutapoteza muda wa kujenga chama kwa ajili ya kupigania walio jela, tutapoteza rasilimali watu kama tutakufa, tazama leo hakuna Alphonce Mawazo tena. Tutampata wapi Mawazo? Familia yake itampata wapi mwingine?
Ni muda wa kufikiri aina ya harakati zetu towards...... Bora kuwa mkimbizi uanzishie mashambilizi ukiwa mahali ambapo hata mbu hakung'ati kuliko kujitoa muhanga hivi ukiwa huna uhakika wa KUSOMA ULICHOANDIKA!
Msimamo huu ni wangu, usipoupenda uheshimu wa kwako.
Tulilia wengi alipoteseka gerezani
Tulihuzunika sana alipolazimishiwa makosa ya uongo ili apotezwe.
Tumepigana wengi Mdude chadema kuwa huru.
Alipotoka jela alistahili yafuatayo;
1-Akaione familia yake akae nayo kwa muda
2-Apata physician amfanyie check up ya afya yake kwa kina (muda aliokaa gerezani ni mwingi sana).
3-Apatikane psychologist akae nae kumjenga kisaikolojia ili akitoka kuingia kwenye harakati aingie akiwa imara kimwili, kiakili na kimaono.
Kuendelea kumpatia kipaza sauti mapema haya SIONI TUNACHOJENGA, SIONI TUKIMSAIDIA, SIONI TUKIMPENDA MDUDE!
Sio lazima mnielewe na sio lazima mfanye hili ila TUFIKIRIE MAUMIVU TULIYOPITIA KAMA TUNA UTAYARI WA KUYAPOKEA TENA.
Alitufunza Mkiti freeman mbowetz kwamba tuyakatae mauti, tuivuke mitego inayotegwa kwetu kuturudisha nyuma maana hakuna faida kufa ama kusota jela. Tutapoteza muda wa kujenga chama kwa ajili ya kupigania walio jela, tutapoteza rasilimali watu kama tutakufa, tazama leo hakuna Alphonce Mawazo tena. Tutampata wapi Mawazo? Familia yake itampata wapi mwingine?
Ni muda wa kufikiri aina ya harakati zetu towards...... Bora kuwa mkimbizi uanzishie mashambilizi ukiwa mahali ambapo hata mbu hakung'ati kuliko kujitoa muhanga hivi ukiwa huna uhakika wa KUSOMA ULICHOANDIKA!
Msimamo huu ni wangu, usipoupenda uheshimu wa kwako.