Sasa Allen utamuacha hivihivi kweli?Usalama upo sanaa tuu, hofu na Mashaka info and
Hahahahahahaaa wee muone wivu tuu hakuna namna.....
Ngoja Daby wangu arudi ulingoni tulisongeshe nimemmiss hatarii...
Hahaha,mwambie wajina azishikilie vyema zisichomoke!!!Aahahahahahahaaa looh mbavu zangu jamani....
Daby wangu ameshakuja, Allen nampungia kwa mbalii....
wowI missed you darling....
WowI love you also....
Love itMmuahh!!.
anaanza na S mwisho anaishia na namba.Heheheheheheee labda nani kwa mfano..... hebu mtaje walau mmoja wapo....
Ajuza Kasie katika ubora wako. Anyway usiwaze sanaaa kuhusu kunasa, wacha tu aje uwe na mjukuu mwanao.Habari za jioni mabibi na mabwana wa JF,
Leo nilikuwa kwenye mishe mishe zangu binafsi sikwenda kazini basi baada ya kumaliza shughuli zangu nikaingia Mandela Square Mall. Nikapata nilivyokuwa nahitaji na wakati natoka nikapishana uso kwa uso na mkaka mmoja hivi kumuangalia vizuri au vijqana wanasema baada ya kufuta tongotongo nikagundua ni Allen.... ooohh my gooshh!!... Allen...!! nikajikuta nimetamka hivyo kwanguvu. Umekuja lini..??
Allen alinifata nilipo akanikumbatia, ashakum si matusi tukajikuta tumebusiana palepale kwenye lango la Mall. Basi si wajua nguvu ya mwanamke tena, ikabidi Alleng aghairi kuingi kwenye Mall maana tulikuwa hatujaonana kitambo, akanibebea mizigo yangu hadi kwenye taxi haooo tukatokomea tunakokujua wenyewe.
Hadi dakika hii ndo naandaa chakula cha jioni niko hapa open kitchen Allen anaangalia mpira baada ya kumkatalia kuwa yeye ndo apike chakula, namtazama huku natabasamu.... Kasie and Allen looh...
Halafu kaja tarehe za hatari sijui ntatoka salama hapa au ntanasaa.....
Ni hayo tuu kwa leo, jioni njema na alamsiki. Poleni kwa kuwachosha na matukio ya Kasie, ndivyo nilivyo.
Kasie.
Kwann akojolee nje wakati kuna choo cha ndani..siku hatari?hamna maduka huko mnunue ndomu??kama vip mpe ila akojolee nje
we mwamke natamanigi sana kukuona bs tu visa vyako
Ajuza Kasie katika ubora wako. Anyway usiwaze sanaaa kuhusu kunasa, wacha tu aje uwe na mjukuu mwanao.