Mhhhhhh..Kabisaaa tangu mwaka jana... nshamsahau tena sitaki hata kumkumbuka...
Yah kasie..Am your real cousin!Are you the cousing.... asking for forgiveness may be....
If not, then why not fair....??!
kutakuwa na mtu anarushwa roho humu hakyanani.Yaani wee acha tuu Allen and Kasie are more than two doves in love...... aawwww so romantic...
Aseee wacha nishtuke nlipoona hilo jina Allen!!!Habari za jioni mabibi na mabwana wa JF,
Leo nilikuwa kwenye mishe mishe zangu binafsi sikwenda kazini basi baada ya kumaliza shughuli zangu nikaingia Mandela Square Mall. Nikapata nilivyokuwa nahitaji na wakati natoka nikapishana uso kwa uso na mkaka mmoja hivi kumuangalia vizuri au vijqana wanasema baada ya kufuta tongotongo nikagundua ni Allen.... ooohh my gooshh!!... Allen...!! nikajikuta nimetamka hivyo kwanguvu. Umekuja lini..??
Allen alinifata nilipo akanikumbatia, ashakum si matusi tukajikuta tumebusiana palepale kwenye lango la Mall. Basi si wajua nguvu ya mwanamke tena, ikabidi Alleng aghairi kuingi kwenye Mall maana tulikuwa hatujaonana kitambo, akanibebea mizigo yangu hadi kwenye taxi haooo tukatokomea tunakokujua wenyewe.
Hadi dakika hii ndo naandaa chakula cha jioni niko hapa open kitchen Allen anaangalia mpira baada ya kumkatalia kuwa yeye ndo apike chakula, namtazama huku natabasamu.... Kasie and Allen looh...
Halafu kaja tarehe za hatari sijui ntatoka salama hapa au ntanasaa.....
Ni hayo tuu kwa leo, jioni njema na alamsiki. Poleni kwa kuwachosha na matukio ya Kasie, ndivyo nilivyo.
Kasie.
Aseee wacha nishtuke nlipoona hilo jina Allen!!!Na nsivyokuwa na bahati ya kupendwa na warembo moyo ghafla ulianza kudundia nje ya mwiliHabari za jioni mabibi na mabwana wa JF,
Leo nilikuwa kwenye mishe mishe zangu binafsi sikwenda kazini basi baada ya kumaliza shughuli zangu nikaingia Mandela Square Mall. Nikapata nilivyokuwa nahitaji na wakati natoka nikapishana uso kwa uso na mkaka mmoja hivi kumuangalia vizuri au vijqana wanasema baada ya kufuta tongotongo nikagundua ni Allen.... ooohh my gooshh!!... Allen...!! nikajikuta nimetamka hivyo kwanguvu. Umekuja lini..??
Allen alinifata nilipo akanikumbatia, ashakum si matusi tukajikuta tumebusiana palepale kwenye lango la Mall. Basi si wajua nguvu ya mwanamke tena, ikabidi Alleng aghairi kuingi kwenye Mall maana tulikuwa hatujaonana kitambo, akanibebea mizigo yangu hadi kwenye taxi haooo tukatokomea tunakokujua wenyewe.
Hadi dakika hii ndo naandaa chakula cha jioni niko hapa open kitchen Allen anaangalia mpira baada ya kumkatalia kuwa yeye ndo apike chakula, namtazama huku natabasamu.... Kasie and Allen looh...
Halafu kaja tarehe za hatari sijui ntatoka salama hapa au ntanasaa.....
Ni hayo tuu kwa leo, jioni njema na alamsiki. Poleni kwa kuwachosha na matukio ya Kasie, ndivyo nilivyo.
Kasie.
Teh teh sasa Allen atatoka kapa??Hahahahahaaa usinitabirie hayo ndugu Kasie kunasa tundu bovu ni aibu atii heheheheheee ntajificha wapii looh.
Hahahahahahaaa Joshy..... if at all you are my cousin..... fcuk you square ..... don't expect anything from Kasie cousin.. am the same Kasie you met in S.A.Yah kasie..Am your real cousin!
Mmmhhh Joshy.... my anger to you is still there...It was not fair since your desertion was unjustifiable..kasie! That's the only reason that has intrigued me to ask forgiveness!
Hope you know how I'm really down with you..
Aseee wacha nishtuke nlipoona hilo jina Allen!!!Na nsivyokuwa na bahati ya kupendwa na warembo moyo ghafla ulianza kudundia nje ya mwili
usalama upo lakini?Hata sijui pakikucha ndo ntajua kama ni kapa au lapa...
Hahahah,mimi naona wangu unaelekea kuanza kudunda kwenye unyayo sasa!!!Aahahahahahahaaaahahahaa looh umenifanya nicheke kwanguvu aah heheheheheheee.
Umenifanya nikumbuke katuni ya Tom and Jerry akiepuka hatari kamoyo kanadundia nje ya mwili aahahahahahahhaaaaa au saa ingine moyo unadundia mkiani eeheheheheheheheee looh.
Aisee, hapa ndo napojuta kukimbia umande, nimeambulia Google, JF na hiyo Mandela Square.As long as you can log in JF then just Google where is Mandela Square located, youll get answers at your finger tips.
All the best.