In this case romantic in an exaggerated or a silly way.Sappy means?
You are welcome..be my muse girl..
You can so...but when he says all cards on the table...that's powerful
Naaah, let not your heart be troubled.
Niliusikiliza kwa mara ya kwanza baada ya kuambiwa nisikilize na mtu very dear to me. Nikausikiliza kila mahali, in my office, nyumbani na hata nikiwa naelekea kwenye misele yangu. I can sing this song word
for word ukanikumbuasha miaka ile nikiandika nyimbo kwenye daftari.
One night as I was trying to sleep listening to the song, usiku kila kitu kikiwa kimya kabisa, sijui ni ule ukimya au nini it hit me hakuna kitu kama hii katika hii dunia esp pande hizi za kwetu.
Still love the song though and sometimes in my day dreams wish for someone to tell me these strong powerful words and most important amaanishe neno kwa neno
Huu mwimbo niliufahamu for the first time kwenye huu uzi wako.. Nikawa naupenda tu... Juzi kati kuna mtu kaupiga, akawa anaimba huku tunadance, lol. Yaani, I felt like a teenager, kumbe mi Muhenga.Very deep song...
Umefanya nimemmiss The BossHuu mwimbo niliufahamu for the first time kwenye huu uzi wako.. Nikawa naupenda tu... Juzi kati kuna mtu kaupiga, akawa anaimba huku tunadance, lol. Yaani, I felt like a teenager, kumbe mi Muhenga.
Nikakumbuka huu uzi hadi nimekuja kuutafuta upya.
there is a way mashairi kama haya yanaweza tu kukufanya ujikute unafua diapers!Huu mwimbo niliufahamu for the first time kwenye huu uzi wako.. Nikawa naupenda tu... Juzi kati kuna mtu kaupiga, akawa anaimba huku tunadance, lol. Yaani, I felt like a teenager, kumbe mi Muhenga.
Nikakumbuka huu uzi hadi nimekuja kuutafuta upya.
Long time aisee. Hujambo Dada?Huu mwimbo niliufahamu for the first time kwenye huu uzi wako.. Nikawa naupenda tu... Juzi kati kuna mtu kaupiga, akawa anaimba huku tunadance, lol. Yaani, I felt like a teenager, kumbe mi Muhenga.
Nikakumbuka huu uzi hadi nimekuja kuutafuta upya.