ALL JF Members: WRITE DOWN HERE YOUR MARITAL STATUS.


Aaah! Majukumu haya! On sasa nimeshachelewa kahawa. Usiwe na wasi wasi kuhusu mdogo wako Kaizer mie siri natunza vizuri. Kuhusu hilo tabasamu, yaani we acha tu, wakati mwingine huwa nimenuna lakini lenyewe lipo tu!

Na sie tutaliona lini tabasamu lako AshaDii? Maana kila leo umelificha kwa kivazi cha usoni.
 
Last edited by a moderator:

Usijali dear... wewe tena? lol, tabasamu nitawakilisha kabisa! Hilo tabasamu libaki hapo hapo Mwaj. Lipo Perfect!
 
Khaa! Mwali wangu hio chai umempa anko wako na mm nataka! lol, wewe upo Mwali status yako ipo unique. Singlish, fanya tu hima mueleweshe ankal wako.
Nitamwelewesha baadae, tukienda kumtembelea Babu Asprin.
Chai yako hii hapa, najua wewe unapenda ya maziwa na cinamon

 
Last edited by a moderator:
Nikumbushe vigezo tena¬!!!

We naona unataka kunizingua, nijirudie tena............
Vigezo vya kimwili ni majaliwa, tabia siwezi badilisha kama alikushindwa mamako nitakuweza miye?
We endelea kumwaga sera nitaangalia jinsi ya ku compromise.........
 
This goes against some basic tenets of JF, namely anonymity and privacy.
when it comes to forums chitchat is a cut above the rest,hapa hakuna cha privacy wala anonymity,we tell it as it is.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…