Aljazeera sport 1,2,3,4....10

Aljazeera sport 1,2,3,4....10

Burton86jm

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
616
Reaction score
183
Hivi kwa hapa Tanzania tunaweza pata hizi chaneli za Aljazeera sport 1,2,3,4.....10?? Kwa dishi la ukubwa upi?,Risiva ya aina gani?(Uwezo gani) na engo ipi??

MR ARSENAL
 
Hivi kwa hapa Tanzania tunaweza pata hizi chaneli za Aljazeera sport 1,2,3,4.....10?? Kwa dishi la ukubwa upi?,Risiva ya aina gani?(Uwezo gani) na engo ipi??

MR ARSENAL

Mkuu hebu tembelea huu uzi nadhani unaweza kuwa msaada kwako,sikumbuki ni post namba ngapi lakini naamini jibu lako lipo na nikiwa na muda nitajaribu kutoa mchangi wangu kwa kadiri ya uelewa wangu.
 
Hivi kwa hapa Tanzania tunaweza pata hizi chaneli za Aljazeera sport 1,2,3,4.....10?? Kwa dishi la ukubwa upi?,Risiva ya aina gani?(Uwezo gani) na engo ipi??

MR ARSENAL

Hizi zinapatikana kwa kutumia dish kubwa kuanzia ft8 na decoder(king'amuzi) ni ya Abudhabi degree7 west
 
Hizi zinapatikana kwa kutumia dish kubwa kuanzia ft8 na decoder(king'amuzi) ni ya Abudhabi degree7 west
Kaka ninayo ya abhu dhabi aina ya Humax HD na na inakadi zake mbili dish futi8,labda beam ndio dosari nipo huku Mpanda-Katavi,mkoa mpya zamani tulijulikana kama Rukwa.
 
Kaka ninayo ya abhu dhabi aina ya Humax HD na na inakadi zake mbili dish futi8,labda beam ndio dosari nipo huku Mpanda-Katavi,mkoa mpya zamani tulijulikana kama Rukwa.
hizo channel sisi watanzania tunalazimisha tu, lakini kwa huko mpanda si mbali kiasi ya kuzikosa kabisa kabisa. unatakiwa uwe na dish futi nane na lnb ya ku band au kichwa kidogo. lakini iwe kaaaliiii zile ziloandikwa design for weak signals.
angalia beam zake hapa EUTELSAT 7 WEST A satellite at 7 degrees West, downlink
na frequency zake hapa 10992 V na symbol rate 27500 Nilesat 102/201 & Eutelsat 7 West A at 7.0°W - LyngSat
 
Kaka ninayo ya abhu dhabi aina ya Humax HD na na inakadi zake mbili dish futi8,labda beam ndio dosari nipo huku Mpanda-Katavi,mkoa mpya zamani tulijulikana kama Rukwa.

Mi nadhani ungetafuta fundi mzuri utazipata mbona tumezipata katika mikoa mingi hapa bongo? Na kuzipata sio kirahisirahisi tafuta ku-band yenye la sivyo utakesha then kukiwa na mawingu ni majanga tupu. Kiukweli hizi channel tunalazimisha kwa huku.
 
Hizi zinapatikana kwa kutumia dish kubwa kuanzia ft8 na decoder(king'amuzi) ni ya Abudhabi degree7 west

upo right mkuu aljazeera na abudhabi sport zina share decoder 1 kinachobadilika ni card tu.

Kwa kua abudhabi zimeenea bongo na mafundi wapo wengi unatakiwa ununue decoder yake utafte fundi akuekee then utafute card ya aljazeera badala ya abudhabi sport.

Kwa maelezo zaidi ya abudhabi sport click link hii hapa chini

AD SPORTS HD decoder - ALJAZEERA SPORT

sehemu ya kuipata card ya aljazeera ni kariakoo maduka yanayouza hizi decoder za abudhabi sport
 
tunaomba kujua gharama za hyo decoder na hlo dish la futi nane
 
tunaomba kujua gharama za hyo decoder na hlo dish la futi nane
Dish inategemea na sehemu,maana bei ya hapa kwetu tofauti na Dar,si unajua mambo ya biashara ila hiyo dekoda ya HUMAX ndio rafiki yangu aliniletea toka Oman ni HD.
 
Pia naomba kwa anaejua namna ya Ten sports,Ten action na nyingine zinapatikanaje??
 
Naomba kufahamu iwapo nahitaji kadi tu ya aljazeera bila decoda ni sh. ngapi?
 
Naomba kufahamu iwapo kadi nahitaji kadi tu ya aljazeera bila decoder ni sh. ngapi?
 
Humax yangu imekufa sehemu ya receiver ya kuchomekea LnB in anaweza ani call kwa 0715 403435 nipo magomeni
 
na LNB ya HD ni sh ngap? zinapatikana maduka gani haswa hapa dar?
 
Kwa sasa aljazeerasport haipatikani waliuza hisa zao kwa BEIN TV na wao hawajiachia Kama tulipokuwa tunawapata aljazeera kirahisi chini ni moja ya email zao Kuja kwangu:

Dear Sender,
Greeting from beIN sports Channel

We regret, but we do not have the broadcast right in Tanzania.

Best regards,
 
Back
Top Bottom