gmail mkulima
Senior Member
- Jun 11, 2017
- 186
- 114
Wakuu naomba nina gunia 80 za alizeti sasa naomba kujua kama naruhusiwa kwenda kuuza nchini kenya nasikia huko bei nzuri mwenye uelewa na haya mambo naomba a nisaidie.
Na kama naruhusiwa kuvusha bonda namanga ushuru ni shiringi ngapi.
Na kama naruhusiwa kuvusha bonda namanga ushuru ni shiringi ngapi.