Aliyosema tundu lissu.

SAUTI YA ZEGE

Member
Jan 31, 2011
18
3
Nimekumbuka kile alichosema Tundu Lissu pale mjengoni kuwa wakuu wa wilaya na mikoa ni wanasiasa na hivo hawapaswi kuingia kwenye kamati za maadili ya mahakama zetu,nakubaliana na hili kwa dhati kwa sbb ya kile kinachoonekana sasa kwa Nape,ameshindwa kujitambua kuwa yeye ni DC na kubakia kwenye majukwaa ya siasa,naomba kuwasilisha.
 
Nimekumbuka kile alichosema Tundu Lissu pale mjengoni kuwa wakuu wa wilaya na mikoa ni wanasiasa na hivo hawapaswi kuingia kwenye kamati za maadili ya mahakama zetu,nakubaliana na hili kwa dhati kwa sbb ya kile kinachoonekana sasa kwa Nape,ameshindwa kujitambua kuwa yeye ni DC na kubakia kwenye majukwaa ya siasa,naomba kuwasilisha.
Fact, sasa hivi hoyo sheria ikipita na kesi ikapelekwa kwa Nape kama DC lazima maamuzi yake yataangukiam upande cahama chake au watu wa chama chake
 
big up kwa hiyo avatar.
hivi huyu dogo ameshavua nepi za siasa?


Ha ha ha.

How about this one Mkuu:


arsenal 3.jpg
 
Back
Top Bottom