SAUTI YA ZEGE
Member
- Jan 31, 2011
- 18
- 3
Nimekumbuka kile alichosema Tundu Lissu pale mjengoni kuwa wakuu wa wilaya na mikoa ni wanasiasa na hivo hawapaswi kuingia kwenye kamati za maadili ya mahakama zetu,nakubaliana na hili kwa dhati kwa sbb ya kile kinachoonekana sasa kwa Nape,ameshindwa kujitambua kuwa yeye ni DC na kubakia kwenye majukwaa ya siasa,naomba kuwasilisha.