TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, Omary Nundu amefariki dunia

RIP Nundu!!!
Umefanya kazi kubwa ya kuiwezesha serikali kuongeza share airtel toka 40% mpaka 48%.
Atakayechukua nafasi yako ahakikishe TTCL inafanya ROAMING na airtel.
 
Umeyawaza vizuri haya uliyoandika hapa?
"utu ni kitu mhimu sana---" Ndugai ana "utu" ?

Unaposema "siasa zisitufikishe hapa", kweli una maana ya kusema anayofanya Ndugai ni 'siasa'?

Pengine maana ya maneno 'siasa' na 'utu' inakupa shida kuzitambua.
Hujakosea kama huo ni mtazamo wako,ila kwangu siyo kwa kuwa tunatofautiana kimtazamo.
 
Hospitali imesema aliletwa amesha aga Dunia.hivyo hakufia Muhimbili over.
 
Usomi wake h
 


Habari zilizotufikia sasa hivi ni kuwa Dr Omary Nundu ametangulia mbele za haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…