Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Du we jamaa una hoja dhaifu sijapata kuona. Kwa maneno mengine unataka kutuambia mnalipiza kisasi? Hivi unaweza kulinganisha nguvu waliyotokanayo akina Mwampamba Chadema na nguvu ya Kimolo?
Hakuna kulipa kisasi wala nini.........nilichokusudia ni kuwa kuhama vyama sio jambo la ajabu pasi kulilinganisha na matapishi.....usihitimishe tu kuwa hoja zangu ni dhaifu wakati hujawahi zisoma hata chembe......na kuthibitisha hili angalia stats zako na zangu ndio uanzishe mapambano na mimi