Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Nenda jukwaa la dini ukaungane na Ma Al habeeb wenzako lakini hapa siyo sehemu yakeAl habeeb Gombesugu,
Shukran sana kwa bayana zako hizi,
Ahsanta..!!
Nenda jukwaa la dini ukaungane na Ma Al habeeb wenzako lakini hapa siyo sehemu yakeAl habeeb Gombesugu,
Shukran sana kwa bayana zako hizi,
Ahsanta..!!
Umeandika pasipo kujua nini unachokiandika, kwanza kabisa ungetakiwa uchanganue na kujiuliza maswali yafuatayo
1. Wanaohamia CHADEMA je ni wanachama walioachwa au kufukuzwa kutoka CCM?
2. Wanaohamia CCM je ni wanaCHADEMA walioachwa au kufukuzwa CHADEMA?
Ungejibu maswali haya kabla ya kupost hiki ulichokipost.
1. Tambua kuwa hakuna MwanaCCM aliyehamia CHADEMA baada ya kuachwa au kufukuzwa CCM wote wanahamia wakiwa bado wanachama hai na wanajiunga CHADEMA kwa mapenzi yao pasipo kufuata fedha wala vyeo.
2. Tumeshuhudia wote wanaojiunga na CCM kutokea CHADEMA ni wale waliofukuzwa na wengine kuvuliwa vyeo kwa makosa mbalimbali, na kwa andiko lako hili ni CCM ndio inayochukua MIZOGA kutoka CHADEMA mfano, J.Shonza, M.Mwampamba, Chriss Lukos na wengineo ambao tumeshuhudia ni jinsi gani walivyoingia huko CCM na matamshi yao yalikuwa yanalenga nini na je Wameimarisha CCM au wameibomoa?
3. Tulinganishe hao waliojiunga CCM kutokea CDM ni wa upande upi waliokisaidia chama kujenga heshima yake naomba tulinganishe hawa wafuatao
- Alphonse Mawazo - Kutoka CCM kwenda CHADEMA
- Juliana Shonza, Mtela Mwampamba na Chriss Lukos - Kutoka CHADEMA kwenda CCM
Linganisha mafanikio ya watu hawa utakuja na jibu ya nini ulichokiandika na kujua mawazo yako ulikuwa unayapeleka wapi.
Kimolo hakufukuzwa ali-resign mwenyewe, kwakuwa serikali haikutaka kuaibika ikadai tayari kulikuwa na barua ya kumfukuza! ccm haijawahi kumfukuza mtu kwa utashi wake pasipo msukumo toka nje (upinzani) kama una kumbumbu lianzishe hapa tukupe data. Kimolo aliita press conference akaeleza sababu za kujiuzulu, waliokombolewa kifkra walimuelewa ila wale wanaotawaliwa kifikra kama wewe hawakumuelewa walibaki na ujinga wao.Swala si uhai wala ufu wa mhamiaji, bali uwezo na haiba ya mtu husika. Huwezi kula makombo yaliyoharibika wakati chakula kizuri kipo. Huu si wakati wa Chadema kushangilia upokeaji wa wanaccm dhaifu kama mtaji wa kisiasa.
Hata CCM hula matapishi........ya CHADEMA!
Kimolo hakufukuzwa ali-resign mwenyewe, kwakuwa serikali haikutaka kuaibika ikadai tayari kulikuwa na barua ya kumfukuza! ccm haijawahi kumfukuza mtu kwa utashi wake pasipo msukumo toka nje (upinzani) kama una kumbumbu lianzishe hapa tukupe data. Kimolo aliita press conference akaeleza sababu za kujiuzulu, waliokombolewa kifkra walimuelewa ila wale wanaotawaliwa kifikra kama wewe hawakumuelewa walibaki na ujinga wao.