Aliyevamia Kiwanja cha mwingine kwa miaka 20 Mbezi Africana avunjiwa ghorofa

Lazima yawepo. Maana kufanya kazi moja tu ya kuimba na kusifu milele tutakuwa tunaboreka.

Waislam wao mbingu yao wanaume watapewa wanawake warembo mabikra wapigane miti.

Sasa bila madala dala mabikra watafikaje alipo bwana juma
Kiwanja kinhusiana nini na uislam
 
Waziri anasimamia uvunjwaji wa nyumba????? Hii nchi tukifanikiwa kufika mbinguni tutapangiwa kazi ya kudeki vyoo vya stendi za daladala....
Ni wazi kabisa hapa waziri ana maslahi binafsi....how comes waziri asimamie inshu ndogo kama hiyo, ni kwamba wasaidizi wake hawapo?....hii ngozi nyeusi hakika ililaaniwa.
 
Mushi vipi tenaa, Mwingine huko inasemekana ni tapeli amekimbilia arusha, aise ni hatari.

Jamani bakini huko huko ngaramtoni/mromboo, dar ina wenyewe bwana, jiji la wajanja lile 😃 japo mimi ni lake zone hiyooo
 
Kwanza ijulikane sitetei dhulma ktk ardhi ya mtu,iko hivi bro!

Hapo nyuma kidogo hivi viwanja tunavyonunua leo watu walikuwa hawana akili kwamba kabla hawajalipa hela waende wakahakiki wizara ya ardhi kama wanaowauzia ni wamiliki halisi au lah so mtu aliyenunua kiwanja kwa hela yake wakati huo angepigana kufa kupona aseme ni chake.

Well hiyo kusema ungekataa ni kawaida yetu Watanzania hatutakiani mema,so ardhi yako ina thamani ya 100Mill aliyekuvamia aseme anakupa hela hiyo ila wewe kwa sababu unahisi una haki sana unakataa alimradi avunje uje umuuzie mwengine?je serikali ghafla ikitangaza kupitisha bomba la maji?ni utoto tu na roho mbaya.
Aisee bora serikali ipitishe hata Bomba la maji machafu itasaidia wengineo, hivi unajua kwa hiyo miaka 20kahangaika kiasi gani kudai kiwanja chake??, je kapishana kwenye hayo makorido ya halmashauri, wizarani, S/Mtaa na sehemu nyingine mara ngapi akidai haki yake???

Katumia gharama kiasi gani na muda alioupoteza kudai hiyo maoi ambayo angeamua kuwekeza kwenye masuala mengine yangemfikisha mbali???

Hivi vitu sio poa, sema watu wanachukulia poa

mali ya mtu ni ya mtu tu, ikiwa mtu unahisi uliuziwa bahati mbaya ongea nae ili myamalize ila ubabe na figisu hautakuja kuwasaidia kamwe ikiwa mvamizi alikuwa anajaribu kufanikisha dhulma
 
Huu nao ni utahira kwanini serikali isiamuru hiyo nyumba iwe miliki ya huyo mama?
Au busara iamue kumlipa huyo maza angalau milioni 50-100 au amlipe sawa na thamani halisi ya ardhi hiyo kisha Jamaa aendelee kumiliki nyumba yake.
Huyo mama yawezekana angejenga vijumba kama vya kufugia kuku aishi yeye na familia yake.
Viongozi matahira, hawa wana akili za kipumbavu kama za Magufuli za kufyeka mahindi ya Mbowe
Aliambiwa akaogoma sbb anasema kiwanja ni chake na ni halali
 
Safi sana, kuna funzo hapa.
Chukua cha mtu, kaa nacho kuna siku utarudisha.
 
Back
Top Bottom