Aliyetupa Macho asiweze kuona?

Aliyetupa Macho asiweze kuona?

kwani aliyetupa masikio asiweze kusikia kilio na maombi yetu na dua kweli ? Aliyetupa macho mnafikiri haoni ? Aliyetupa akili na fikra asiweze kuwaza juu ya mambo haya ?
Ni kama wewe ulivyo mpiga tofari, Mwigamba kwa kushindwa tofauti zenu za kisiasa, hivi Mungu amesikiliza kilio cha Mwigamba, na unapata malipo yako duniani hapa hapa
 
Nijuacho mimi..mlichotuaminisha at that time ndicho tunachokiona leo toka kwa uongozi wa sasa,hivyo basi mnapokuja na lawama zingine juu ya serekali tuliyonayo binafsi nakushangaeni na siku hizi hata siwasikilizi tena japo leo nimejikuta nasoma hiki kilichopo hapa
 
Lema...Wakati mwingne mkiwa mnaandika UZI humu muwe mnafikiria mara mbili mbili kabla ya KUANDIKA especially kwa nyie ambao ni VIONGOZI....Mnatakiwa wakati mwingne muwe wa KWELI hili la LISSU kukamtwa leo KAJITENGENEZEA mwenyewe makusudi kuelekea huu UCHAGUZI wa TLS ili ionekane hili la yeye kukamtwa leo lina uhusiano na TLS......hamtaki kabsa kuangalia upande wa pili wa yeye kuvunja SHERIA.....
amevunja sheria ipi?

kama ni swala la kuripiti mahakamani, si mdhamini na wakiri aliripoti?
 
Mh naomba kutoa maoni yangu...Wakati campaigns za mitandaoni ziliendelea,nilikuwa nashauri watu wajikite vijijini kupiga campaigns,kama issue ni pesa,wananchi tuko tayari kuchangia,ili mradi tu kampeni zifanikiwe (ikiwezekana nyumba kwa nyumba)tukiamsha ari ya watu kukichukia chama tawala,tunaweza kufanikiwa kuleta mabadiliko mbeleni,

Japo kwa muono wangu,2020 Lowassa agombee tena coz mkifanya kosa mkamuweka mtu mwingine tofauti na Lowassa,huyo mtu hata kama ana nguvu kiasi gani akiukosa urais hiyo 2020 atakuwa amekufa kisiasa...nashauri mkae mezani na ZZK muwe kitu kimoja then by 2025 tumtumie kama hazina kwenye uchaguzi mkuu...

My point here ni kuhakikisha angalau mwaka 2020 idadi ya wabunge wa CCM na Upinzani either inakuwa sawa au Upinzani wanakuwa wengi,hii itasaidia kurudisha hadhi ya bunge kwa kulifanya kuwa muhimili wa dola unaojitegemea tofauti na hali ilivyo sasa
Mzee yuko vijijini jamaa ndo kaweka mizizi kwanza watakuuliza mwenyenyumba kafanya nini mpaka unatuambia tusimchague maake hawaoni kosa lake na kama no kosa ndo tunaanza kulisikia kwako
 
Back
Top Bottom