MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Umekosa hoja umekuja na vioja!Acha matusi we mbeba pampas wa edo!
Umekosa hoja umekuja na vioja!Acha matusi we mbeba pampas wa edo!
Njoo na Bi.mkubwa wako hapa, Kibo Palace Hotel, Ila ukishalewa umuache!we kenge njoo hapa club D moshono nikununullie bia naona una njaa sana boya wewe
Ni kama wewe ulivyo mpiga tofari, Mwigamba kwa kushindwa tofauti zenu za kisiasa, hivi Mungu amesikiliza kilio cha Mwigamba, na unapata malipo yako duniani hapa hapakwani aliyetupa masikio asiweze kusikia kilio na maombi yetu na dua kweli ? Aliyetupa macho mnafikiri haoni ? Aliyetupa akili na fikra asiweze kuwaza juu ya mambo haya ?
Kumbe Mbowe ndio anagawa na kutoa makatibu.. Mkiambiwa kua CHADUMAA ni sakosi mnabisha [HASHTAG]#Bakunja[/HASHTAG] nyieHivi mh.Mbowe kwaninj huyu hukumpa ukatibu mkuu wa chama?
una hela ya kuingia kibo palace wakati kila siku unashinda mrinaNjoo na Bi.mkubwa wako hapa, Kibo Palace Hotel, Ila ukishalewa umuache!
MRINA ndio wapi?una hela ya kuingia kibo palace wakati kila siku unashinda mrina
muulize lema atakuambia si ni jirani yako?MRINA ndio wapi?
LEMA ni jirani yangu kweli!muulize lema atakuambia si ni jirani yako?
hahahah....leo unakukana maeneo yako hayo...mchana nimekuona shiverzLEMA ni jirani yangu kweli!
Lakini huko MRINA sidhani kama anapafahamu.
Huko huwa mnaenda nyie mlioshindikana!
Kweli we ni mwehu.hahahah....leo unakukana maeneo yako hayo...mchana nimekuona shiverz
wewe ukiwa nchi gani?Mikwara mbuzi tu mnamhusisha Mungu kwenye upuuzi wenu mkiwa majukwaani mnatukana wenzenu Mungu anapenda? Awamu hii ni jino kwa jino fanya upuuzi wenzio wafanye upumbavu

amevunja sheria ipi?Lema...Wakati mwingne mkiwa mnaandika UZI humu muwe mnafikiria mara mbili mbili kabla ya KUANDIKA especially kwa nyie ambao ni VIONGOZI....Mnatakiwa wakati mwingne muwe wa KWELI hili la LISSU kukamtwa leo KAJITENGENEZEA mwenyewe makusudi kuelekea huu UCHAGUZI wa TLS ili ionekane hili la yeye kukamtwa leo lina uhusiano na TLS......hamtaki kabsa kuangalia upande wa pili wa yeye kuvunja SHERIA.....
Hakuna linaloshindikana.. Ondoa uoga / hakuna kukata tamaa. Keep it up!I wish ningekuwa japo nusu kama wewe.
nae yupo mbali sasa ktk mabadiliko ya kifikra!Mashambulizi ya kiitikadi..!!!nenda gerezani pale Kisongo utakuwa sio nusu bali kama yeye kabisa
huyo laki si pesa Haoni hata jf membership status yakoLEMA ni jirani yangu kweli!
Lakini huko MRINA sidhani kama anapafahamu.
Huko huwa mnaenda nyie mlioshindikana!
Mzee yuko vijijini jamaa ndo kaweka mizizi kwanza watakuuliza mwenyenyumba kafanya nini mpaka unatuambia tusimchague maake hawaoni kosa lake na kama no kosa ndo tunaanza kulisikia kwakoMh naomba kutoa maoni yangu...Wakati campaigns za mitandaoni ziliendelea,nilikuwa nashauri watu wajikite vijijini kupiga campaigns,kama issue ni pesa,wananchi tuko tayari kuchangia,ili mradi tu kampeni zifanikiwe (ikiwezekana nyumba kwa nyumba)tukiamsha ari ya watu kukichukia chama tawala,tunaweza kufanikiwa kuleta mabadiliko mbeleni,
Japo kwa muono wangu,2020 Lowassa agombee tena coz mkifanya kosa mkamuweka mtu mwingine tofauti na Lowassa,huyo mtu hata kama ana nguvu kiasi gani akiukosa urais hiyo 2020 atakuwa amekufa kisiasa...nashauri mkae mezani na ZZK muwe kitu kimoja then by 2025 tumtumie kama hazina kwenye uchaguzi mkuu...
My point here ni kuhakikisha angalau mwaka 2020 idadi ya wabunge wa CCM na Upinzani either inakuwa sawa au Upinzani wanakuwa wengi,hii itasaidia kurudisha hadhi ya bunge kwa kulifanya kuwa muhimili wa dola unaojitegemea tofauti na hali ilivyo sasa
Lakin yy siyo ya kufoji mkuu.