Aliyetoa hoja na waliokubaliana kuteka na kuua watanganyika kama njia ya kuwanyamazisha aambiwe imeshindwa na haina mashiko

Aliyetoa hoja na waliokubaliana kuteka na kuua watanganyika kama njia ya kuwanyamazisha aambiwe imeshindwa na haina mashiko

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,333
Reaction score
6,453
Kama kuna mtub huko serikalini aliye pendekeza kuwepo project ya kuteka na kuua watanganyika ili kuzima ukosoaji mwambieni project ime fail. Maana sasa output zake sio poa kabisa.

1. Inchi imechafuka kimataifa,

2. Ukosoaji unaongezeka,

3.Serikali inachukiwa na kuwa isolated na wananchi

4. Taswira ni kwamba nchi ni mali ya kundi la wasiojulikana wanao amua nani awe hai nani afe. Je kuna faida. Hakuna
 
1771989601427.jpg
1771958412115.jpg
 
Back
Top Bottom