The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,995
- 13,513
Kichwa cha habari kiko wazi. Inakuwaje watu ambao hawakuchaguliwa, kuteuliwa, au kuwa sehemu ya serikali kikatiba wanatishia Watanzania? Wamelipwa, kujituma, au kutumwa?
Je, nani anawatuma na kwanini? Wanapata wapi uhalali wa kutoa vitisho ? Mbona hawakamatwi wala kukaripiwa?
Kwanini serikali imekaa kimya kuhusiana na uhuni huu? Je, huu nao si udini? Tufanye nini kuwatambua, kuwakaripia, na kuwaadhibu hawa wahuni wanaojifinya nyuma ya dini?
Kwanini sasa na si wakati mwingine? Kuna nini nyuma ya pazia.
Najiwazia kimya kimya tu
View: https://www.youtube.com/watch?v=ARJbpDohpdM
Je, nani anawatuma na kwanini? Wanapata wapi uhalali wa kutoa vitisho ? Mbona hawakamatwi wala kukaripiwa?
Kwanini serikali imekaa kimya kuhusiana na uhuni huu? Je, huu nao si udini? Tufanye nini kuwatambua, kuwakaripia, na kuwaadhibu hawa wahuni wanaojifinya nyuma ya dini?
Kwanini sasa na si wakati mwingine? Kuna nini nyuma ya pazia.
Najiwazia kimya kimya tu
View: https://www.youtube.com/watch?v=ARJbpDohpdM