monica steven
Member
- Oct 11, 2012
- 35
- 8
who is ponda bwana? kafanya jipi jema kwa inji hii , kama unampenda mshauri aache ayafanyayo
Nme jarib kupitia japo kwa haraka baadhi ya maoni ya wana jukwa inanipa picha kwel kuna udini hapa nchini kwan watu wame kwenda stright na kusema kwamba ni haki shekh ponda kupigwa risasi sijui mmetumia katiba ya nchi gan ianayosema mytu akiwa mchochezi apigwe risas naomnba majib! na kusema kwamba tukio la kuawa kwa padri zanziber waislam wanahusika kitu ambacho c kwel kwam matukio kama hayo yametokea hata kwa mashehe yakiwemo kuimwagiwa tindikali.tatizo mnashindwa kuelewa kizuri sku zote kina pingwa ndo hjujawah kuskia vita zidi ya ukristo bali kumna vita juu ya uislam na kuitwa magaid ila cha kushangaza cjawah kiuskia gaid mkristo toka najua kusoma. kwa mfano mzuri kuwakumbusha kama waislam hawpendwi mnakumbuka issue ya NECTA na mtihani wa islamic knoledge walicho wafanyia waislam? au mnajifamnya kusahau? tatizo serikal haimpend shehe ponda kwan anasema ukwel na kuwaumbua na yupo tayar kufa kwa ajil ya uilam ni sawa na CCM wanavo ichukia CHADEMA.jaman c siri uislam haupendwi mfano mwingine uliomna lin sku kuu za kiislam ofice za serikali zika pambwa? hebu jiulize kuhusu krismas na mwakampya jimns fedha ya walala hoi inavotumika kwenye mapambo yasio na maana.jaman tusiwe wanafik tuwe wakwel kama CHADEMA na tusiwe kama CCM
Wana Jamvi,
Habari za jioni !
Tumemjua Askari Polisi aliyefyatua risasi kwa lengo la kumuua Sheikh Ponda anaitwa Inspector Benedict George, Mkurya wa kituo cha Morogoro mjini
Lengo la kumleta hapa jamvini ni nduguze kumsihi asijiingize kwenye matatizo ambayo hataweza kuyakabili
Ipo misitu mingi sana ambako Watanzania wanauwawa na Polisi hawaendi na wanabaki kukimbizana na CHADEMA na Waislamu hasa Masheikh huku mjini kutawafikisha kubayaa
He has been warned!
'habari yako mbona imekaa kiuwepesi wepesi hivi haina source haina hata picha basi ya huyo askari na ndugu zake pia hakuna ndugu...'
Wana Jamvi,
Habari za jioni !
Tumemjua Askari Polisi aliyefyatua risasi kwa lengo la kumuua Sheikh Ponda anaitwa Inspector Benedict George, Mkurya wa kituo cha Morogoro mjini
Lengo la kumleta hapa jamvini ni nduguze kumsihi asijiingize kwenye matatizo ambayo hataweza kuyakabili
Ipo misitu mingi sana ambako Watanzania wanauwawa na Polisi hawaendi na wanabaki kukimbizana na CHADEMA na Waislamu hasa Masheikh huku mjini kutawafikisha kubayaa
He has been warned!
Inspector!???
Inawezekna wanagombea kitu kingine, kaja kumwanika JF kwa kisingizio cha Ponda
. una uhakika ganiWana Jamvi,
Habari za jioni !
Tumemjua Askari Polisi aliyefyatua risasi kwa lengo la kumuua Sheikh Ponda anaitwa Inspector Benedict George, Mkurya wa kituo cha Morogoro mjini
Lengo la kumleta hapa jamvini ni nduguze kumsihi asijiingize kwenye matatizo ambayo hataweza kuyakabili
Ipo misitu mingi sana ambako Watanzania wanauwawa na Polisi hawaendi na wanabaki kukimbizana na CHADEMA na Waislamu hasa Masheikh huku mjini kutawafikisha kubayaa
He has been warned!