Aliyesema wanaume hawaaminiki ni nani?

Aliyesema wanaume hawaaminiki ni nani?

Hivi vyote ni ubatili machoni pake... Na mimi ni nani nipingane naye yeye yule mwamuzi wa kila jambo
 
Mkuu wewe ukianza kutafuta aliyesema ni nani itasaidia nini?

Wewe anza kuwa muaminifu. Mjenge mke wako akuamini.

Akikuamini yeye inatosha hata kama hawa wengine walio baki wakisema wanaume sio waaminifu...
Hakika mkuu
 
Sure ni tatizo kubwa sana! Na akifanikiwa kufanya mambo kama hayo bila wewe kufahamu, mtaishi kwa misukosuko sana
 
Ki ukwel mkuu acha wasituamin hivyo hivyo maana vichwa vyetu cha juu na chin tunavijua wenyewe kwa maamuzi yao.
 
Back
Top Bottom