Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,355
Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.