Aliyeongoza kidato cha Sita ni zao la shule za Kata

Hizo habari mbona hazina ukweli? Tabora boys amna ufaulu wa Division one ya point 3; Bali ni division one ya point 4 ndo zimeanza; Shule imekua nafasi ya 8 ki taifa. Unless NECTA wameficha data zingine au mpekuzi amepata wrong source.

Nakubali kusahiishwa
Mkuu ni li habari la mwaka jana hili siyo la mwaka huu! Angalia post ya kwanza kabisa ya huyu mleta mada ni matokeo ya 2016! Hata mimi nilikuwa nimeuvaa mkenge nikakimbia kwenda kufuta fasta!!
 
Kuhusu shule za kata Dr. Slaa aliliongelea siku ya mkutano wake na waandishi wa habari wa kustaafu siasa za vyama. Nnachokumbuka alisema shule za kata haukua mpango wa Tanzania tu bali ni nchi kadhaa za Africa na alidai hata yeye aliwahi kuhudhuria vikao vya huo mpango. Tafuteni video za ule mkutano sio mnapeana credits hapa.
NAM
 
Sikuwahi hata mara moja kuzikejeli Shule za Kata kwa sababu nilifahamu, kama sio shule za kata, angalau 75% ya wale waliopelekwa kwenye hizo shule wangeishia mitaani!!!
 
Na hawa waliofeli wanafundisha miaka yote!

Post sent using JamiiForums mobile app
Waliotuzidi (Nchi za dunia ya kwanza) na zinazoendelea (Finland, Poland etc) fani ya ualimu inapewa hadhi sawa na udaktari ( medicine).
Top tens ndio waalimu.
Elimu elimu elimu.
 
Tabora Boys hakuna point 3, ila point 4 (wanafunzi wawili); moja ya PCM na nyingine PCB. Point 3 ziko Tabora Girls; PCB. Mleta uzi arejee implied facts kwenye ujmbe wake.
 
Wewe ulipata ngapi kwa kutokukariri
Hujui ata kua kuna vitabu na masomo ya ziada alaff kasema mwalimu alikuepo wa party time...

sent from my iPhone 7 using jamiiForums mobile app

“Hakuwa na Mwalimu wa Fizikia pale. Tangu najiunga sikuwahi kumwona zaidi ya wakuazimwa ambaye alikuwa akija jioni na mwisho mwa wiki tu na alikuwa akija mara chache. Muda mwingi tulitumia kujisome wenyewe lakini hatukukata tamaa,”alisema.

Hamna kitu. Mimi pia nilipata A kwa kukariri. So I know what I am talking about. Haya mambo ya kudanganywa na grades ndio yanaua elimu yetu na kufanya watu kuwa na vyeti but they ain't able to do anything. Kama unabisha na ukitaka kushangaa, let's arrange to test the boy in Physics, Chemistry and Mathematics using different assessment format. Are you really convinced that his understanding of physics is of the A grade? Huwezi kusoma Physics bila mwalimu halafu unganiambia kuna kitu umeelewa. Wanachofanya hawa wanafunzi ni ku-solve past exams' questions na kukariri.
 
Back
Top Bottom