Elections 2015 Aliyemuibua Magufuli anastahiliki sifa za kipekee!!


Mimi nina mjua maana ni jirani yangu
 
Hana kisaikolojia ni mtu mwema Trust me. Au uliza psychologist aliye karibu. Lowasa mm ni nature kali sanasana sio kishabiki bali ni watu wale wakali kama simba. Mfano Iddi Amin na lowasa kitu kimoja. Uliza psychologist jirani atakusaidia.

Nyie endeleeni kujitwisha gunia la misumari,huyo magufuri anajua kuwa lowasa ndiye rais wake ajaye
 
Conclusion ya yote haya ni Mungu, Mungu ndio upanga makusudio yake kupitia mtu, njia hii aliyopita ndio ilikuwa njia aliyopangiwa kufika juu.

Magufuli urais asahau na mwenyewe analijua hilo kuwa lowasa ndiye rais wake ajaye
 

Mkuu mimi nimeshautuma kwa zaidi ya watu 500
 


....kamanda..! chambilecho, wazungu wa "wingereza''....samaki wa dhahabu, hana pa kujificha......
 
Hivi kuna mtanzania anae fikiria Lowasa atakuwa Rais. Huyo ni lofa na hatari.

Watanzania mamilioni matumaini yao yoote ni kwa lowasa
 

Attachments

  • 1442127970341.jpg
    7.9 KB · Views: 407

You are such a big victim of the theory of HERD MENTALITY.
 
Kwa hali tuliyofikia sasa tunahitaji kiongoz aina ya Magufuri.... Hakuna kubembelezana kazi kazi hutaki kazi kaa pemben... Wapinzani zile ziara zenu za kwenda kupata Chai ikulu msahau kabisa huyu sio Jk..... #hapa kazi tu.

Kazi huku tumemaliza vyuo mwaka wa tatu tupo tu vijiweni ??? Ukiwa unapiga kelele hapa ufikirie na nduguzo jobless na wenye hali duni na za kimaisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…