Elections 2015 Aliyemuibua Magufuli anastahiliki sifa za kipekee!!

kuna kitu kinaitwa remote control.... kina maana sana kwenye siasa za bongo kwa sasa

Puppet on the string is swinging
 
kuna kitu kinaitwa remote control.... kina maana sana kwenye siasa za bongo kwa sasa

Puppet on the string is swinging
Kuna wale wanaoendeshwa na genge la mafisadi huku wakizungukwa na wapiga dili.
 
Kuna wale wanaoendeshwa na genge la mafisadi huku wakizungukwa na wapiga dili.

Exactly...

CCM imejaa wapigaji watupu; Sitta, Mwakyembe, JPM, JK, Kinana, Wasirra, Lukuvi, Rostam, Dewji, manji... the list never ends
 
COtD4n0UEAAt--m.jpg





Ni nani aliyemjua John Pombe Magufuli kabla ya mwaka 1995?

Hili ni swali muhimu sana kwa wale wanaofikiria na kufuatilia siasa za Tanzania toka enzi na enzi.

Ilikuwaje Mkapa akamteua kuwa mmoja wa askari wa miamvuli just from nowhere?

Ilikuwaje kamati ya maadili ya CCM ikakubaliana kuja na jina la Magufuli kwenye tano bora ya CCM mwaka 2015 bila kujali mbwembwe za watia nia wakongwe na wakiojinadi kwa mbwembwe kwa miaka zaidi ya sita?

Ilikuwaje Magufuli akaweza kuepuka scandals za kumuangusha kama Waziri katika kipindi kilichokumbwa na scandals nyingi?

Inakuwaje au ilikuwaje Magufuli ameweza kuhimili mikikimikiki ya wizara zote alizopelekwa na kuibuka hero?

Unapojiuliza maswali haya ni lazima ujiulize ni nani hasa aliyemuibua John Pombe Joseph Magufuli.

Pia ni lazima umuheshimu aliyemuibua the coming president of URT.

Isitoshe ni muhimi kumuheshimu au kuheshimu chombo kinachoibua watu wa namna hii!

Mavazi ya watu hao wawili kwenye picha yanamajibu ya swali lako. Anzia viatu, suruali, koti la suti, nk.
 
Huu unafiki huu
Nani hajui Kuwa Magu was neither Prepared for this post.
It just came Ku Neutralize Hasira za kukatwa kwa Eddo against Kupendelewa Member.
Nani hajui kuwa mtu alitaka Mdogo wake ndo apeperushe Bendera ?
All in all,Raisi wenu ni ENL mtake mistake.
Kama vp jiandaeni kuhama nchi

Hatujahama,vipi Wewe umehama?
 
CCM ni chama kubwa.

CCM ina uwezo siyo wa kuongoza tu bali hata kutambua vipaji na uwezo wa vijana/wazee katika kulitumikia taifa.

Hata hao wanaojaribu kupambana na Magufuli katika uwanja wa siasa wanafahamu vizuri Tanzania ya sasa inahitaji uongozi wa mtu mwenye kipaji na uwezo kama Magufuli.

Kwa sasa wamebakiwa na hoja zinazosema, tatizo siyo Magufuli baada ya CCM kumteua Magufuli kuwa mgombea Urais.

Hana makandokando ya kimaisha na kiutendaji. Hachafuki hata ukitaka kumchafua.

Huyu ndiye Magufuli aliyeiburiwa na CCM.

Hii hapa picha yake akinadiwa kuwa Mbunge kwa mara ya kwanza na Mzee Mkapa.

COtD4n0UEAAt--m.jpg
Swali litakalofuata ni je aliibuliwa kwa sababu ipi hasa?
 
Mi huwa nahisi magu alikua mtu wa usalama wa taifa(tiss)toka kitambo sana

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Samahani niko nje ya mada, hivi hao watoto kwenye picha watakuwa wapi sasa hivi?
Sijui wanajiona huko waliko?
Si ajabu ni baadhi ya makada wa ccm kwa sasa....
 
COtD4n0UEAAt--m.jpg





Ni nani aliyemjua John Pombe Magufuli kabla ya mwaka 1995?

Hili ni swali muhimu sana kwa wale wanaofikiria na kufuatilia siasa za Tanzania toka enzi na enzi.

Ilikuwaje Mkapa akamteua kuwa mmoja wa askari wa miamvuli just from nowhere?

Ilikuwaje kamati ya maadili ya CCM ikakubaliana kuja na jina la Magufuli kwenye tano bora ya CCM mwaka 2015 bila kujali mbwembwe za watia nia wakongwe na wakiojinadi kwa mbwembwe kwa miaka zaidi ya sita?

Ilikuwaje Magufuli akaweza kuepuka scandals za kumuangusha kama Waziri katika kipindi kilichokumbwa na scandals nyingi?

Inakuwaje au ilikuwaje Magufuli ameweza kuhimili mikikimikiki ya wizara zote alizopelekwa na kuibuka hero?

Unapojiuliza maswali haya ni lazima ujiulize ni nani hasa aliyemuibua John Pombe Joseph Magufuli.

Pia ni lazima umuheshimu aliyemuibua the coming president of URT.

Isitoshe ni muhimi kumuheshimu au kuheshimu chombo kinachoibua watu wa namna hii!
Mkapa na Magufuli wote wezi tu. Wametusainisha mikataba mibovu na sasa wanatafuta kiki kwa kuifuta bila mpango ambako kutatugharimu.

Unachoona cha maana sana kuwasifia ni kipi?
 
Hahahahaha halafu mtaozeshwa na dini ipi??? sasa kama majogoo mnataka kuburuzana

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom