Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Ni mwanafunzi wa Masters ya Public Administration UDOM na sasa hivi yuko Str tv kipindi cha Tuongee asubuhi.Sasa sijui hii style ya kukurupuka na kumsingizia Lema inakuja vipi kama siyo kutishia uhuru wa watanzania kutoa maoni??Nadhani anatakiwa kuomba radhi kwa kukurupuka kwani kiongozi makini haendeshwi na hisia