funguotatu
Member
- Jul 13, 2012
- 85
- 11
kwa habari za uhakika ni kuwa aliyerusha bomu hajakamatwa. Yule Ambrosi yeye alikodishwa na mrusha bomu. Alipomfikisha kabla hajashuka kwenye bodaboda ndo akarusha na kukimbia. Ila Ambrosi ndo kakimbizwa kakamatwa baada ya mtuhumiwa kupotea
Aliyekudanganya nani? Si Kila usikialo unaliamini, huku ndani porojo nyingi ukweli Karibu na sufuri. Tuendelee na tamthiloa ya egoli episod ///