Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Huo ni ujinga.Kama mtu anayeendesha pikipiki aina ya SANLG toka dar hadi Makambako anapofika tu anakimbizwa hospitali,huyo wa baiskeli toka Geita hadi Dar alikuwa salama kweli?Upuuuuzi mtupu.Huyo lazima tuchunguze akili yake.Isije ikawa aliugua sana utotoni.