Ndg wana JF., nimepewa taarifa kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika kuwa aliyekuwa mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini (CHADEMA) mwaka jana, Bw. Shelembi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo ktk hospitali ya Mkoa Shinyanga. Alipelekwa huko usiku akiwa na BP ya juu.
Mungu ailaze mahalipema peponi roho ya marehem Shelembi..... Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe.
Mungu ailaze mahalipema peponi roho ya marehem Shelembi..... Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe.