beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mgombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA) Salome Makamba kwa tuhuma za kufanya fujo, kuchana karatasi za matokeo ya kura na kumjeruhi Msimamizi wa Uchaguzi katika kituo cha kuhesabia kura cha shule ya msingi Bugweto "B".