Aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga akamatwa na kikosi kazi kwa madeni

Pombe n
Mpenda starehe sana na kundi lake la akina Fred Lowasa
Pombe nayo ni starehe?Hata aliyeongoza kura za maoni sasa(2020) naye ni wale wale,Chapombeee.Monduli Yetu haina bahati ya kupata Proper MP Candidate after Mh.E.Moringe R.I.P.Only him was a true representative of Maasai Community.Waliofuatia baada yake ni wachumia tumbo na wameinyong'onyeza sana jamii yao hasa suala la Elimu ambayo bado ni Optional hasa kwa watoto wa kike.Kwa aina ya viongozi wanaochaguliwa/kuteuliwa itachukua another century kufikia malengo ya maendeleo ya jamii ya wafugaji pamoja na raslimali lukuki za mifugo,wanyama pori/utalii wa picha na uwindaji walivyonavyo.
Kuna changamoto nyingi sana na haionekani kwa namna gani zitatatuliwa hasa ukosefu wa maji,miundo mbinu ya usafiri/usafirishaji,masoko ya mazao ya mifugo na uendelezaji wa mifugo yenyewe na malisho yao.Idadi ya mifugo ni kubwa kuliko binadamu laikini tija ni ndogo kwa sababu hakuna sera ya kuendeleza wafugaji na hivyo wanamiliki raslimali bila elimu ya uvunaji na uendelezaji.Haya tunayoshudia huku kwetu hayatofautiani na maeneo yote ya Tanzania hasa vijijini na CCM Mpya wanapenda kuwaita waajiri wao Wanyonge badala ya kuutokomeza unyonge wao ili kutajipatia faida binafsi.
Watanzania tuamke na tupindue meza,CCM Mpya hawana hoja ya maendeleo ya watu bali vitu vinavyowapatia sifa mbele ya macho ya wanyonge wasio na fursa ya kueleza vipaumbele vyao.
 
Pombe n

Pombe nayo ni starehe?Hata aliyeongoza kura za maoni sasa(2020) naye ni wale wale,Chapombeee.Monduli Yetu haina bahati ya kupata Proper MP Candidate after Mh.E.Moringe R.I.P.Only him was a true representative of Maasai Community.Waliofuatia baada yake ni wachumia tumbo na wameinyong'onyeza sana jamii yao hasa suala la Elimu ambayo bado ni Optional hasa kwa watoto wa kike.Kwa aina ya viongozi wanaochaguliwa/kuteuliwa itachukua another century kufikia malengo ya maendeleo ya jamii ya wafugaji pamoja na raslimali lukuki za mifugo,wanyama pori/utalii wa picha na uwindaji walivyonavyo.
Kuna changamoto nyingi sana na haionekani kwa namna gani zitatatuliwa hasa ukosefu wa maji,miundo mbinu ya usafiri/usafirishaji,masoko ya mazao ya mifugo na uendelezaji wa mifugo yenyewe na malisho yao.Idadi ya mifugo ni kubwa kuliko binadamu laikini tija ni ndogo kwa sababu hakuna sera ya kuendeleza wafugaji na hivyo wanamiliki raslimali bila elimu ya uvunaji na uendelezaji.Haya tunayoshudia huku kwetu hayatofautiani na maeneo yote ya Tanzania hasa vijijini na CCM Mpya wanapenda kuwaita waajiri wao Wanyonge badala ya kuutokomeza unyonge wao ili kutajipatia faida binafsi.
Watanzania tuamke na tupindue meza,CCM Mpya hawana hoja ya maendeleo ya watu bali vitu vinavyowapatia sifa mbele ya macho ya wanyonge wasio na fursa ya kueleza vipaumbele vyao.
Huyu namfahamu sana kuliko unavyofijiri, Fred Lowasa naye hewa tu
 
Pombe n

Pombe nayo ni starehe?Hata aliyeongoza kura za maoni sasa(2020) naye ni wale wale,Chapombeee.Monduli Yetu haina bahati ya kupata Proper MP Candidate after Mh.E.Moringe R.I.P.Only him was a true representative of Maasai Community.Waliofuatia baada yake ni wachumia tumbo na wameinyong'onyeza sana jamii yao hasa suala la Elimu ambayo bado ni Optional hasa kwa watoto wa kike.Kwa aina ya viongozi wanaochaguliwa/kuteuliwa itachukua another century kufikia malengo ya maendeleo ya jamii ya wafugaji pamoja na raslimali lukuki za mifugo,wanyama pori/utalii wa picha na uwindaji walivyonavyo.
Kuna changamoto nyingi sana na haionekani kwa namna gani zitatatuliwa hasa ukosefu wa maji,miundo mbinu ya usafiri/usafirishaji,masoko ya mazao ya mifugo na uendelezaji wa mifugo yenyewe na malisho yao.Idadi ya mifugo ni kubwa kuliko binadamu laikini tija ni ndogo kwa sababu hakuna sera ya kuendeleza wafugaji na hivyo wanamiliki raslimali bila elimu ya uvunaji na uendelezaji.Haya tunayoshudia huku kwetu hayatofautiani na maeneo yote ya Tanzania hasa vijijini na CCM Mpya wanapenda kuwaita waajiri wao Wanyonge badala ya kuutokomeza unyonge wao ili kutajipatia faida binafsi.
Watanzania tuamke na tupindue meza,CCM Mpya hawana hoja ya maendeleo ya watu bali vitu vinavyowapatia sifa mbele ya macho ya wanyonge wasio na fursa ya kueleza vipaumbele vyao.
Huyo kijana anaitwa fredy anaelezewa sana watu wa monduli kwa ulevi kalanga starehe basi kuna shida sana kuwapa zamana kuongoza monduli
 
Aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga anashikiliwa na kikosi kazi cha serikali kutoka Makao Makuu Dar, kinachohusika na kukusanya madeni.

Taarifa za uhakika zinasema Kalanga alikamatwa majira ya jioni nje ya ofisi za NMB na askari wa Takukuru na baadaye kupelekwa ofisi za Takukuru mkoa. Huku njiani akilalamika kwamba Mdhamini wake wa Mkopo huo Ndugu Kadogoo amemkimbia na hapokei simu zake tena.

Read More > Julius Kalanga, aliyekuwa Mbunge wa Monduli atiwa nguvuni - Imevuja!
Acha apate joto ya jiwe uyo Yuda
 
Na kulipwa kote milioni mia mbili na hamsini ameshindwa kulipa deni
Kisulisuli wewe mwanzo kabisa ulikuwa ccm kwenye kinyang'anyiro cha Udiwani Kata ya Makuyuni ulishinda lkn hukupewa bali kapewa Lerunya. Kwa hasira ukahamia Chadema ulishinda Udiwani lkn uliporwa ushindi wako na ccm kwa nguvu ya Oloibor Lukunya (Edo).

Baadae kukumaliza kabisa ukaondolewa Arusha na kupelekwa Kiteto. Baadae Edo kaja Chadema ukamkimbia tena na kurudi ccm. Majuzi tena ulikuwa kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge jimboni Monduli nako ulipigwa chini mapema. Nasikia sasa hivi umejiunga na kambi ya mtoto wa Oloibor Lukunya.


Sasa kwa kifupi wewe na Kalanga ni Malaya wa Kisiasa. Wote ni Wasaliti na kila mmoja atavuna akipandacho.
 
Huyu jamaa alikuwa na madeni hata kabla ya kuhama chama.

Wabunge waliokuwa wanaongoza kwa madeni ni:

-Kalanga
-Kingu
-Waitara (kabla hajahama cdm).

Hawa watu inawezekana wamelogwa. Mshahara+allowances zaidi ya milioni kumi kwa mwezi ila wanaishi kama digidigi.
Kwenye hii list muongeze Godbless Lema
 
Kisulisuli wewe mwanzo kabisa ulikuwa ccm kwenye kinyang'anyiro cha Udiwani Kata ya Makuyuni ulishinda lkn hukupewa bali kapewa Lerunya. Kwa hasira ukahamia Chadema ulishinda Udiwani lkn uliporwa ushindi wako na ccm kwa nguvu ya Oloibor Lukunya (Edo).

Baadae kukumaliza kabisa ukaondolewa Arusha na kupelekwa Kiteto. Baadae Edo kaja Chadema ukamkimbia tena na kurudi ccm. Majuzi tena ulukuwa kwenye kinya

Sasa kwa kifupi wewe na Kalanga ni Malaya wa Kisiasa. Wote ni Wasaliti na kila mmoja atavuna akipandacho.
jamaa umekuja kumdungua mpaka huku
 
Aliyekuwa Mbunge wa Monduli, JULIUS KALANGA anashikiliwa na kikosi kazi cha serikali kutoka Makao Makuu Dar, kinachohusika na kukusanya madeni.

Taarifa za uhakika zinasema Kalanga alikamatwa majira ya jioni nje ya ofisi za NMB na askari wa Takukuru na baadaye kupelekwa ofisi za Takukuru mkoa. Huku njiani akilalamika kwamba Mdhamini wake wa Mkopo huo Ndugu Kadogoo amemkimbia na hapokei simu zake tena.

"Juzi alikamatwa na kudhaminiwa na aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri ya Monduli, Isack Matasia aka Kadogo. Tumemsaka Kadogo hapatikani, lakini tumemtia nguvuni, leo tupo naye,"kilisema chanzo kimoja ofisi ya Takukuru

Kalanga anadaiwa kukopa matrekta kutoka NDC na amekimbia kulipa deni na kuzima simu.

Maofisa wa Habari waliopiga simu kupata taarifa, wametishiwa maisha na Ofisi ya MkuuwaMkoa Idd Kimantha.
images%20(16).jpg
 
Back
Top Bottom