kisulisuli
Member
- Oct 20, 2019
- 37
- 69
Aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga anashikiliwa na kikosi kazi cha serikali kutoka Makao Makuu Dar, kinachohusika na kukusanya madeni.
Taarifa za uhakika zinasema Kalanga alikamatwa majira ya jioni nje ya ofisi za NMB na askari wa Takukuru na baadaye kupelekwa ofisi za Takukuru mkoa. Huku njiani akilalamika kwamba Mdhamini wake wa Mkopo huo Ndugu Kadogoo amemkimbia na hapokei simu zake tena.
Read More > Julius Kalanga, aliyekuwa Mbunge wa Monduli atiwa nguvuni - Imevuja!
Taarifa za uhakika zinasema Kalanga alikamatwa majira ya jioni nje ya ofisi za NMB na askari wa Takukuru na baadaye kupelekwa ofisi za Takukuru mkoa. Huku njiani akilalamika kwamba Mdhamini wake wa Mkopo huo Ndugu Kadogoo amemkimbia na hapokei simu zake tena.
Read More > Julius Kalanga, aliyekuwa Mbunge wa Monduli atiwa nguvuni - Imevuja!