Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Aliyekuwa Mbunge wa Momba (2015-2020), David Silinde amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Tunduma mkoani Mbeya
Wangempiga miti kule.Kwanini kakimbia jimbo la Momba?
Maandiko yanasema "Mwovu hukimbia hata asipokimbizwa"Kwanini kakimbia jimbo la momba?
Lakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewaWangempiga miti kule.
anakimbia kivuli chakeMaandiko yanasema "Mwovu hukimbia hata asipokimbizwa"
Tunamsubiri sanaLakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewa
Anang'olewa na nani?huyu Mataga hafiki hata tano bora,si alijifanya eti kwao wamempokea,lakini sasa anaogopa hata kuludi momba alikozaliwaLakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewa
Atapigwa miti na huko.Lakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewa
Dhambi ya usafiri ni mbaya sanaanakimbia kivuli chake
Kuna broo mmoja ametoka kutusomea huo mstari jana tu.Maandiko yanasema "Mwovu hukimbia hata asipokimbizwa"
Majuzi kwny ziara ya waziri mkuu Silinde anaeleza mambo ya Sgr,Stigler's,flyover jamaa wa momba hata hawamuelewi wanasema hayo ni mambo ya huko dar tueleze mambo ya hapa.Anang'olewa na nani?huyu Mataga hafiki hata tano bora,si alijifanya eti kwao wamempokea,lakini sasa anaogopa hata kuludi momba alikozaliwa
Nadhani ameandika huku anakimbiaTunduma ni Mbeya???!
Achana na ndoto za alinacha mkuuLakini kiufupi Mwakajoka anaenda kung'olewa