Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Kati ya makosa Mahali Viongozi Wa Tff Wanakoseaga ndiyo hapo. Kubadili waalimu kila tunapofungwa.Kama hatuna uzoefu kwa kiwango cha kushindana kimataifa hata akija Morinyo sidhani kama atabadilisha mambo. Kwani ni kocha gani aliyeivusha hii timu kwenda kwenye hizo fainali
wamechelewesha watu kupata taarifa mapema , lengo la jf ni kuwa wa kwanza kutoa habari kuliko media zile uchwaraAfadhali uzi umerudishwa... Haki imetendeka
Ile timu ya Vijana iliyoingia fainali gabon vp mbona tff waliitelekeza hawakuiendelezaNaamini wamejipanga kumlipa fidia kwa kuvunja mkataba bila kusumbuana. Ni wakati gani viongozi wa TTF watawajibika kwa matokeo mabaya?
Tunataka kuvuna tusipopanda.
Tuwekeze katika soka la vijana, viwanja, na uamuzi. Tujiulize ni lini waamuzi kutoka Tanzania walitumika katika mashindano makubwa?
Waamuzi wanajua na kufuata sheria za mpira?
Yote haya yaangaliwe na si swala la kocha pekee.
Ha ha ha haMsianze kuwasingizia makocha bana, mpira ni mipango. Kama zimetushinda korosho ambazo hazishindani, utakuwa mpira ambao upande wa pili kuna watu?
Wizara,BMT,TFF Viongozi wake wawajibishweKocha yeyote akitaka kuchafua CV yake aje kuifundisha hii timu ya ILANI.
Maximo alifundisha timu ipi ?!Napinga.. nashauri watafute kocha toka brazil hata kama anafundisha daraja la 10.
Brazil kila mtu anajua soka
Kazi ya kulea vijana sio ya tff ni ya club, kwani hujui wachezaji wa timu za taifa wanapatikana vipi? Au ulitaka wawalee hadi lini?Ile timu ya Vijana iliyoingia fainali gabon vp mbona tff waliitelekeza hawakuiendeleza
Tuanze hapo
Ova
Haha we jamaaNi ngumu sana kufundisha vilaza wa mpira.
mawazo yako ndio uhalisia hasaBREAKING NEWS : Aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike, amefutwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku chache zimepita baada ya timu hiyo kutolewa hatua ya makundi kwenye fainali za AFCON
View attachment 1149241
MAONI YANGU KAMA BRITANICCA
Hapa wamefanya kosa kubwa sana kumuondoa Amunike kwa maana sisi hata kushiriki kwenyewe tulitegemea best looser yaaan Lethoto atoe draw ndo tupite,
Kwa kifupi uamzi huu haukuzingatia kuwa Kocha siyo tu anayepaswa kuwajibishwa kama ingekuwa kuwajibishwa,
Tuanze na wabunge, kamati ya uhamasishaji na mwenyekiti wake Makonda, kama tungeshinda sifa zingewaendea wao, ila kwakuwa tumeshindwa eti wamlaumu Amunike?
NI MPUUZI PEKEE ALIYETEGEMEA TAIFA STARS KUPENYA KWA MIAMBA ILE WAKATI MAANDALIZI YETU YAPO MDOMONI MWA MAKONDA NA MANARA,
Britanicca
Kocha asiyeleta mafanikio ni lazima aondolewe tu
Napinga.. nashauri watafute kocha toka brazil hata kama anafundisha daraja la 10.
Brazil kila mtu anajua soka
Aiseeee !!!Michezo tunayoweza wabongo ni inayohusisha ngono na ulevi kama ingekuwa Bigbrother tungeshinda.