Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,348
- 217,388
Hii ni taarifa inayosambaa kwa kasi mitandaoni kwa sasa.
Taarifa zinaonyesha kwamba kocha huyu ameiongoza Taifa Stars kwa mechi 10 na kufanikiwa kupata ushindi wa mechi mbili ikiwemo ile ya ujirani mwema dhidi ya Uganda , amepata sare mechi 2 na kufungwa mechi 6 .
More to follow .......
------
Aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike, amefutwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku chache zimepita baada ya timu hiyo kutolewa hatua ya makundi kwenye fainali za AFCON
Taarifa zinaonyesha kwamba kocha huyu ameiongoza Taifa Stars kwa mechi 10 na kufanikiwa kupata ushindi wa mechi mbili ikiwemo ile ya ujirani mwema dhidi ya Uganda , amepata sare mechi 2 na kufungwa mechi 6 .
More to follow .......
------