Ngoja niseme hivi: Sijajua hasa ni kipi unakipigania wewe katika misimamo yako humu JF. Sijaona popote ninapoweza kukuweka kwenye kundi la "nguruwe" wanaofugwa na Samia; lakini bado umeng'ang'ania huko huko!
Kama ni kutetea CCM, sioni uwepo wa CCM kama chama wakati huu.
Kwa hiyo nafasi pekee iliyobaki ambayo inaweza kukuenea wewe ni kuwa furushi tu analolitumia Samia, pengine kwa uteuzi ndani ya serikali haramu.
Polepole asingemsema Samia, hadi leo hii ungekuwa unaimba sifa zake; huu ndio upuuzi wa ajabu sana uliowajaa watu kama wewe.