The lariat
JF-Expert Member
- May 16, 2025
- 1,353
- 1,915
Samahani mkuu. Umejiunga lini humu JF?.Bro unatafuta umaarufu ama nini? Mpaka Polepole mwenyewe anajuwa kuwa anawindwa, kuna mtu hii nchi hajui kuwa Polepole anapaswa kuwa makini?
Miaka nane kabla ya 2022 mwaka ambao umejiunga wewe.Samahani mkuu. Umejiunga lini humu JF?.
Hongera sana. Msingi wa swali langu ulizingatia neno uliloandika "bro unatafuta umaarufu ama nini" mkuu Britanicca ni mtu maarufu sana humu JF. Nilidhani wewe ni new member. Sawa.Miaka nane kabla ya 2022 mwaka ambao umejiunga wewe.
anapenda kiki nothing new,vitu vyote anavyoongea always ni vitu watu wote tunavijua sijui ni ugonjwa wa akili kwanini mtu anatafuta kuwa relevant kiasi hiki?Bro unatafuta umaarufu ama nini? Mpaka Polepole mwenyewe anajuwa kuwa anawindwa, kuna mtu hii nchi hajui kuwa Polepole anapaswa kuwa makini?
Ile view na background ni green screen Mzee😀Polepole alianza kufanya mistake sometimes kuonyesha ile View na ile background kwenye ile nyumba yale ni makosa sana kama umeamua kupambana na watu kama Rostam CIA kabisa utakiwi kuonyesha background na view kama ya ile nyumba ni big mistake watu wanaweza kujua uko wapi ikabaki story
Namsoma Britanicca, najua anasifika kwa post za namna gani, na hiko ndio haswaa kimenishangaza. Mtu kama yeye sio wa kupost thread kutoa onyo kwa polepole, pole pole mwenyewe anasema anatafutwa, sasa unamuonya nini hapo?Hongera sana. Msingi wa swali langu ulizingatia neno uliloandika "bro unatafuta umaarufu ama nini" mkuu Britanicca ni mtu maarufu sana humu JF. Nilidhani wewe ni new member. Sawa.
Ungepita kimya kimya kama unaaga maitii pia sio MBAYA.anapenda kiki nothing new,vitu vyote anavyoongea always ni vitu watu wote tunavijua sijui ni ugonjwa wa akili kwanini mtu anatafuta kuwa relevant kiasi hiki?
mfano hapo anasema amesha pata access ya polepole bado amekuja kupost huku tena what’s that for?kutujulisha kuwa anayo access ya polepole au nini🤔
Mwambie atoe mwongozo tunajikomboa vipi na wahuni before October 29.Awe makini mnooo
Sitafunguka sana
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!
Britanicca
Daaaaah, mimi nilijua mwamba hawezi kujilipua akiwa bongoPolepole hayuko nchini, zile picha za hapa ni wapi akiwa Dar CBD ni za zamani.
Hata muchungaji askofu wa ufufuo hayuko nchini. Kwa jeshi hili la Muliro wa intelegensia wangesha pewa kesi za uhaini.
...Hana la kujibu kweli?Dah.....
Britanicca na wewe hupatikani
Ngoja tuone maana Kuna watu humu walisema Britannica ndio Mr slow Slow mwenyewe.Dah.....
Britanicca na wewe hupatikani
Daaah!Awe makini mnooo
Sitafunguka sana
UPDATE
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!
Britanicca