Aliyeko karibu na Polepole

Aliyeko karibu na Polepole

Bro unatafuta umaarufu ama nini? Mpaka Polepole mwenyewe anajuwa kuwa anawindwa, kuna mtu hii nchi hajui kuwa Polepole anapaswa kuwa makini?
Siyo mbaya kukumbusha na kuonyesha ni kwa kiasi gani anatafutwa, uzuri HP yuko mbele ya wakati japo kundi analopambana ni kubwa na lina ukwasi wa kufa mtu wanaweza kumhonga hata mtu wa karibu yako unayemwamini sana.

Ila anachokipigania ni kikubwa na cha kizalendo mnooo kuliko wanaomtafuta na pia ni kama hayuko peke yake na yeye maana anaposema ni hivi karibuni watu watawajibishwa sidhani kama ni nguvu yake tu inaweza kuwajibisha majizi ya rasilimali za taifa
 
awe makini mnooo
Sitafunguka sana
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!

Britanicca
Slowslow huwa ni nonstop, akianza anatiririka bila kikomo. Hii sasa ukitilia maanani mpasuko wao huko na pia allies ndiyo wanazidi kumpa latest info na za zamani ambazo hakuwa akizifahamu.
Anasubiri kwa hamu Vasco da Gama amchokonoe pale ndipo atafungua encyclopedia, kuna mambo mengi wanaogopa asiyavujishe kwani japo wanatawala na watatawala kimabavu lakini ile kukosa credibility kabisa wanajua kuwa hata wao kwa wao watakuwa wanavurugana sana.
 
awe makini mnooo
Sitafunguka sana
Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!

Britanicca
Mkuu Britannica jitahidini pia kuwalinda watu aina ya HHP kwenye idara maana ni wachache sana angalia wazee wote wamehanya kukemea uozo uliofanyika kumpata mgombea lakini jamaa akaachia mshahara, posho, na marupurupu ya kibalozi ilikupigania nchi na usalama wa rasilimali zake, mtapoteza sana uzalendo kama watu wenye nia ya dhati taifa lisonge mbele kama mtawaacha waingie kwenye 18 za wezi. Naamini mtaweza kumlinda HP na pia muungeni mkono kwenye mambo anayoyapambania.
 
Mkuu Britannica jitahidini pia kuwalinda watu aina ya HHP kwenye idara maana ni wachache sana angalia wazee wote wamehanya kukemea uozo uliofanyika kumpata mgombea lakini jamaa akaachia mshahara, posho, na marupurupu ya kibalozi ilikupigania nchi na usalama wa rasilimali zake, mtapoteza sana uzalendo kama watu wenye nia ya dhati taifa lisonge mbele kama mtawaacha waingie kwenye 18 za wezi. Naamini mtaweza kumlinda HP na pia muungeni mkono kwenye mambo anayoyapambania.
Nina uhakika huo hawa watu ni wa kulindwa !

Britanicca
 
Awe makini mnooo
Sitafunguka sana

Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!!

Britanicca
Sasa sisi tusemeje hapa, mkuu 'britanicca' kama hatushirikishwi kwenye hilo!

Polepole kajivuruga mwenyewe kwa kutojuwa anataka nini.

Sioni hata sababu ya wenyewe kumtafuta tena, maanake hatikisi chochote katika mipango yao ya kubaki madarakani tena.

Labda huko kwenye uchafu tu anakovuruga ulaji wao.
 
Back
Top Bottom