mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
kweli kama kuna wakandarasi wabovu ndiye huyu aliyejenga Kijitonyama to Kopa mwananyamala, kuna uharibifu mkubwa wa raslimali za taifa, huyu jamaa kapaka mfano wa lami na kujaza kokoto alafu kesho aitwe kuziba mashimo, baadaye nyie wakandarasi wa ndani mnalalamika kuwa mnanyimwa tenda ! kama haruirudia nitamshitaki mwenyewe. Acheni wizi wa mapema