Aliyeelewa hizi picha atufafanulie

Aliyeelewa hizi picha atufafanulie

Hapo nilivyoelewa mimi

Huyo mama inaonesha kabla ya hapo alikua amemshika mtoto mikononi sasa mtoto akaanza kusinzia. Mama akambeba kumpeleka kwenye chumba cha huyo mtoto ili alale.

Kinachofanyika sasa hapo mama anajaribu kuweka mkono wake mwilini mwa huyo mtoto kwa staili ya kumbeneleza ili mtoto aendelee kufeel kua yupo na maa yake kwasababu bado usingizi haujachanganya

Kama ilivyokawaida ya watoto wengi pindi akiwekwa kitandani huwezi ukakurupuka kuondoka ukidhani kua amelala,

Kwaiyo picha ya kwanza inanesha huyo mama akijaribu kumbembeleza

Picha ya pili inaonesha huyo mama anamchungulia mtoto kuhakikisha kua mtoto amelala fofofo ( na ndio maana ametoa macho)

Picha ya tatu inaonesha huyo mama akijiandaa kusepa kwa staili ya kunyata baada ya kuona huyo mtoto amelala

Picha ya nne na tano inaonesha huyo mama ameshuka kitandani ila mkono wake mmoja bado umemgusa huyo mtoto ili kumpa tumaini kua mama yake bado yupo endapo kama ajalala fofofo

Picha ya sita inaonesha huyo mama ameutoa mkono uliobakia mwilini mwa huyo mtoto kwa umakini mkubwa ili asije kumuamsha

Picha ya saba huyo mama anamsikilizia huyo mtoto kama kalala kweli au atahisi upweke baada ya mkono wa mama yake kuondolewa mwilini mwake

Picha ya tisa inaoneha huyo mama amebaini kua mtoto amelala hivyo anaanza kufanya jitihada za kusepa kimya kimya asije kumuamsha mtoto kwa kelele endapo ataondoka kwa vurugu

Picha ya mwisho inaonesha mtoto kastukia mchezo ameamka baada ya kutohisi kumbatio kutoka kwa mama yake.......soon ataanza kulia na mama yake atarudi tena kumbembeleza
Umetisha mkuu, ila jitihada zote hizo dogo hajalala duh
 
Na watoto wachanga walivyo huwa ni wabishi kulala ile saa ambayo una kazi za hapa na pale. Yaani unaeza tamani kulia na hasa itokee huna msaidizi.

Unaeza ukanyata saa unamuacha pale kitandani ili kasisikie hatua ukijua kamelala ile umeanza kugusa kazi tu tayari huko nyuma kanalia. Inabidi kuacha na kukarudia. Lol
 
HAHAHAHAHAAAA....TATIZO LA KUPANGA CHUMBA KIMOJA.......BABA ANATAKA MZIGO DOGO HALALI......hapo kuna dog style hatari mpaka dogo kastuka....
 
Back
Top Bottom