Aliyeelewa hizi picha atufafanulie

Aliyeelewa hizi picha atufafanulie

Hizi picha hakuna hata mmoja aliyeelewa. Ipo hivi: Huyo mama yupo kitandani na mtoto wake pamoja na baba,ila mzee baba anataka game (sex) but mtoto tayar amelala ila anashtukashtuka hivyo wakaamua kumuweka sehem pembeni akiwa amelala,wakaendelea mchezo wao ila kumbe dogo bado yupo macho akawa anawasililizia wakipiga game na akawa anashangaa kumbeee[emoji4][emoji4][emoji4][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
umenifurahisha kwa kuwadharau wenzako
wengi wanazungumzia mechi pamoja na wewe
cartoon huwa na mawazo mengi na mengi ni uwanja mpana wewe unavyofikiri
huyo mchoraji inategemea na Nchi aishio huenda wamedanganywa, wamebembelezwa miaka mingi lkn mwisho wameshtuka TUNAIBIWAkumbe wazee mnafaidi sasa muamke
pokea maoni yakila mtu mleta Mada Equation x
 
umenifurahisha kwa kuwadharau wenzako
wengi wanazungumzia mechi pamoja na wewe
cartoon huwa na mawazo mengi na mengi ni uwanja mpana wewe unavyofikiri
huyo mchoraji inategemea na Nchi aishio huenda wamedanganywa, wamebembelezwa miaka mingi lkn mwisho wameshtuka TUNAIBIWAkumbe wazee mnafaidi sasa muamke
pokea maoni yakila mtu mleta Mada Equation x
Sawa mkuu wote tunajifunza,elimu haina mwisho
 
Hizi picha hakuna hata mmoja aliyeelewa. Ipo hivi: Huyo mama yupo kitandani na mtoto wake pamoja na baba,ila mzee baba anataka game (sex) but mtoto tayar amelala ila anashtukashtuka hivyo wakaamua kumuweka sehem pembeni akiwa amelala,wakaendelea mchezo wao ila kumbe dogo bado yupo macho akawa anawasililizia wakipiga game na akawa anashangaa kumbeee[emoji4][emoji4][emoji4][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Nami nimeelewA hivyo..
Watoto wadogo huwa wana wivu sana na mama zao.. Ukimshika tu kanaanza kulia.
Kulea ni kazi.
 
Atakuwa anaenda kugegedwa... Night Kali Dogo hataki kulala... Huku dingi gegedo liko 90degrees..

Wazazi wenzangu watanielewa.
ha ha ha inawezekana ikawa kweli
 
Back
Top Bottom