Aliye tayari tuwasiliane

kichenchele

JF-Expert Member
Jun 28, 2010
539
176
Wana jf, mimi ni mjasiliamali mdogo ambaye ninamiliki maduka mawili(2) ya dawa baridi, nahitaji mjasiliamali ambaye yuko tayari tuungane ili tuweze kufungua pharmacy,
aliye tayari tuwasiliane 0778008686
 
Wana jf, mimi ni mjasiliamali mdogo ambaye ninamiliki maduka mawili(2) ya dawa baridi, nahitaji mjasiliamali ambaye yuko tayari tuungane ili tuweze kufungua pharmacy,
aliye tayari tuwasiliane 0778008686
kichenchele..
Naomba kwanza unieleweshe mambo yafuatayo:
1.Kufungua pharmacy inaweza ku-cost kiasi gani? (kuanzia ujengaji mpaka kulijaza duka dawa)
2.Je wewe una uzoefu na uendeshaji wa mambo ya pharmacy?
3.Kama jibu ni ndio... biashara yake ikoje? Pato la mwezi i.e. faida halisi inaweza kuwa kiasi gani?
Ukiona huwezi kunijibu kwa hii thread uniletee kwa pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom