aliuvuruga sana mchezo wa soccer akiwa waziri wa michezo kwa maamuzi yake ya ajabu ajabu, na mwaka 2005 clouds fm kupitia kura ya maoni walimtangaza kama waziri aliye perform vibaya kabisa
Ila kimtindo alisaidia kumfunga jela Eden Raage pindi alipokuwa ananyemelea jimbo la tabora