Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,421
- 40,409
- Thread starter
- #41
Nilipata somo kubwa sana, cha kujifunza si kila mtu unayekutana naye ni mwema kwako.Sema ulichemka sana kumtuma Mkeo Ugenini peke yake kisha ukamruhusu alale Lodge.
Siku nyingine ukilazimika kumtuma mbali hakikisha ameambatana na Mtu unayemwamini, aidha ndugu yako tena mwanamke mwenzake au Mdogo wake.
Na wakifika huko wafikie Hotelini siyo Lodge.