Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,172
- Thread starter
- #21
Kuna mambo mengi sana tume-achieve nayeSehemu ulizo feli.
1.kumuita mkeo pacha....kumuonesha ni jinsi gani unampenda...hii kwa mwanamke itakula kwako.
2.kumuamini mwanamke kupita kiasi...hapa lazima utakujalia kulio Cha mbwa usipo Lia Basi hauta sikia maumivu Wala sauti za watu Wala kuwa na pumnzi mapema Sana.
3.pesa ulizo nazo unazani utakuwa nazo kila siku .
4. Mzee wanaume wote tunawapenda wanawake ila sio kwa hiyo style yako......itakukost.