Alisema Albert Einstein mwaka 1950

Alisema Albert Einstein mwaka 1950

Hitler angemsikiliza Einstein, ujerumani ingeshinda vita kuu ya pili, na dunia ya sasa isingekua ilivyo sasa, Einstein alimwambia Hitler. " I can produce tremendous energy using an atom. " Hitler akamwambia show me how then I will fund the project.
Einstein akamwambia, hapa hakuna cha mfano wala nini, ukitengeneza, umetengeneza kwani atom haionekani kwa jicho. Hitler akamnyima funding. Jamaa akapaa akaenda Marekani, wamarekani wakalifanyia kazi lile wazo lake.......
Bomu la atomic ndio lililo wafunga mdomo wajapani washirika wa Hitler.
Hili bomu lingetenezwa ujerumani....MUNGU epushia mbali... sisi sote tungekua tunaongea kijerumani sasa

Nakiri kufurahika saana na naandishi yako haya @shoghoo
 
Kuna kitabu chake kimoja murua saana kinaitwa " The World as I see it!"

Trust me huyu jamaa ni insane genious.
 
Back
Top Bottom