TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Kama tutakubali kuwa wakwel, toka mwaka 2005 alipoingia madarakani rais Kikwete mambo yamekuwa yakienda mrama na wakosoaji wa serikali wamekuwa wakiongezeka siku kwa siku. Hii kwa tafsiri isiyo rasmi inaonesha kuwa rais amekosea kwa baadhi ya maeneo katika serikali yake.
-"Ushkaji" au urafiki kwa lugha iliyo rasmi. Rais wakati wa ingwe yake ameunda serikali ya kirafiki ambapo asilimia kubwa ya mawaziri na watendaji wengi ndani ya serikali ni marafiki zake jambo linalomfanya asiwe na meno kwa marafiki zake hao.
- Visasi na makundi ndani ya chama ambayo yanatokana na kambi za chaguzi ndani ya chama 2005,hivyo kundi lililoshindwa kutaka kukmoa kundi lilioshinda. Mfano mzuri Mark Mwandosya, Abdallah kigoda ambao pamoja na umahili wao hawakuwemo katika baraza 2005 - 2010. Pia kesi ya Kujiudhuru kwa EL kama waziri mkuu ambalo wengi hamjui nini kilichopo nyuma ya pazia.
- "Too transparence" uwazi kupita kiasi wa serikali hii. Serikali imekuwa wazi kwa kila kitu hata vile ambavyo havikupaswa kuwa wazi. Imefika wakati watu wanadai mpaka vitu vya ndani kabisa, mfano hati ya muungano.
- kuzurura kupita kiasi. Wakosoaji wanasema rais ametumia zaidi ya 30% ya muda wake wote kutembea nchi mbalimbali kwa shughuli za kikazi. Hii imemfanya Rais kutojua baadhi ya mambo yanayoendelea nchini. Amefikia wakati hajui hata kwa nn nchi ni masikini. Hawezi jua kwa kuwa haishi nchini kwa 30%.
Nimejaribu kutafakari kwa sauti.
Tukosoane kwa staha.
-"Ushkaji" au urafiki kwa lugha iliyo rasmi. Rais wakati wa ingwe yake ameunda serikali ya kirafiki ambapo asilimia kubwa ya mawaziri na watendaji wengi ndani ya serikali ni marafiki zake jambo linalomfanya asiwe na meno kwa marafiki zake hao.
- Visasi na makundi ndani ya chama ambayo yanatokana na kambi za chaguzi ndani ya chama 2005,hivyo kundi lililoshindwa kutaka kukmoa kundi lilioshinda. Mfano mzuri Mark Mwandosya, Abdallah kigoda ambao pamoja na umahili wao hawakuwemo katika baraza 2005 - 2010. Pia kesi ya Kujiudhuru kwa EL kama waziri mkuu ambalo wengi hamjui nini kilichopo nyuma ya pazia.
- "Too transparence" uwazi kupita kiasi wa serikali hii. Serikali imekuwa wazi kwa kila kitu hata vile ambavyo havikupaswa kuwa wazi. Imefika wakati watu wanadai mpaka vitu vya ndani kabisa, mfano hati ya muungano.
- kuzurura kupita kiasi. Wakosoaji wanasema rais ametumia zaidi ya 30% ya muda wake wote kutembea nchi mbalimbali kwa shughuli za kikazi. Hii imemfanya Rais kutojua baadhi ya mambo yanayoendelea nchini. Amefikia wakati hajui hata kwa nn nchi ni masikini. Hawezi jua kwa kuwa haishi nchini kwa 30%.
Nimejaribu kutafakari kwa sauti.
Tukosoane kwa staha.