Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
JK yupo sahihi kabisa na katawala vizuriKiukweli jakayo kaendesha inchi vizuri kuliko raisi yyte inchi hii ila tu wakosoaji wapo kote dunia isipokuwa mbingun kunbuken no body is perfect except GOD
ila binadamu wapo wenye husda na fitina
kwa vile ni miezi 6 tu atang'oka tusubiri huyo ajaye badala ya JK