Alipokosea Jakaya Mrisho Kikwete

Alipokosea Jakaya Mrisho Kikwete

Kwahiyo hata escrow ni chuki kusafishana na kutoana kafara kama mama tibaijukana wengine unategemea sio kubaguana? Acha unafiki wengine wezi wakaribu yke sio wezi mtaisoma namba mwka huu tumewachoka mafisi.
 
Jina lenyewe waukae unategemea utazungumza yaliyo na maana. Haya we mkwere wa wapi? Pingo, gwata, chamakweza, fukayosi, ubena au mdaula?

Kwa hiyo wewe jambo la maana kumuona kikwete mbaya? ahaaa ahaaa ukimuona kikwete mzuri maana yake wewe ni mkwere? acha ukabila ndugu tuambie na wewe unaemchukia ni Kabila gani?
 
Nimemsikia Dokta mmoja kutoka REPOA akielezea juu ya 'political will', kwamba Dar es Salaam ni jiji ambalo limezidiwa tayari na shughuli za binadamu wakati halina huduma za jamii kama maji.
Sasa political will ilivyotumika kutoa gesi Mtwara kuileta Dar es Salaam/Bagamoyo ingelitumika hiyo hiyo kuleta maji kutoka Ruvu/Rufiji kuja Dar es Salaam ingelimuachia historia katika utawala wake.

Wazo mujarab kabisa. Pia angetumia political will hiyo hiyo kuvunja zile nyumba zilizojengwa kwenye njia ya maji kwa nguvu ya pesa, afungulie maji yatoke majumbani mwa watu yaelekee baharini hakika angeacha historia. Kinyume chake anamwambia DC Makondakta afungue yeye.
 
Leo MNAMTUKANA kwenye mitandao halafu mnasema amekua TOO TRANSPARENCE
  • Mlitaka awe kama Uhuru Kenyatta muanze kufuatiliwa humu JF?
  • Mnataka awe km M7 baadhi ya mitandao ifungwe
  • au Pauli K na vituo vyenu vya redio vifungwe
  • Kwanini msijipimishe na Korea kwenye utawala wa kiimla ukisinzia kwenye Hafla za Rais au Bunge ni KIFO
  • Zimbabwe
  • DRC
Kipindi cha Jakaya ni miezi 6 tu imebaki lakini kwa atakayetawala kwa AMANI km yeye hamtakaa mumpate
'TAKE MY NOTE'
Kweli mkuu. Huwa natafakari haya maneno kuwa jk ni dhaifu hadi naogopa. Kule korea kale katoto kalisikia mjomba wake anasema dogo ni dhaifu kalimchukua hadi kwenye kambi ya jeshi kakamlipua na kombora la kupiga vifaru mbele ya maafisa wa jeshi kuonyesha kako strong. Sijui na jk nae afanye moja? Nenda kwa amani JK.
 
LAKINI huyu ni kilaza halafu amezungukwa na washkaji kama wasaidizi!! Hakubali wala ushauri!! Umenfaham!??[/QUOTE said:
Jinga kubwa wewe. Acha dharau kwa rais. Eti kilaza, unaongozwa na kilaza miaka 10? wewe unayeongozwa na kilaza sijui ni msukule?
Ebu tueleze alishauriwa nini akakataa.
 
mangikule
Tatizo la Wachagga hamjifichi na chuki zenu za kitoto
na ndio maana mnaambiwa ni ndoto kutawala hata ije karne ya 40
Mrema alipojitokeza hata nubrash viatu mliacha
Mbowe akagombea na yeye mkautaka hata ukuu wa Wilaya
Mbatia naye
hivi kwanini mna chuki zisizo na uzito
mmeshuka migombani mmetapakaa kila mahali Mangi, MANG, mangimangi kulekule
mnataka atawale nani sasa km hata Zitto mnamfukuza?
nipe sababu moja tu ya JK aliyowanyima mpaka mnamuita Kilaza kazungukwa na washikaji AU kawaacha wachagga mangikule
Rais aliyekiri hajui sababu ya umaskini NI KILAZA
Rais ambaye amejaza washkaji na mahawara serikalini ni KILAZA
Rais anayelinda majizi na mafisadi kama vile EPA, RICHMOND na ESCROW ni KILAZA
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Rais aliyekiri hajui sababu ya umaskini NI KILAZA
Rais ambaye amejaza washkaji na mahawara serikalini ni KILAZA
Rais anayelinda majizi na mafisadi kama vile EPA, RICHMOND na ESCROW ni KILAZA
Ngojeni zamu yenu Itafika mtajipanga Wachagga tupu km mlivyojipanga CHADEMA
kuanzia Mtaa, Wilaya,Mkoa IGP hadi mwanasheria Tundu Antipas
 
Ngojeni zamu yenu Itafika mtajipanga Wachagga tupu km mlivyojipanga CHADEMA
kuanzia Mtaa, Wilaya,Mkoa IGP hadi mwanasheria Tundu Antipas
Hayo ndiyo maneno!! usitegemee tutawatafuta wajomba na marafiki wa kule msoga!! na kuendelea kuwalinda hata kwenye uozo!! Waziri wa Elimu - Mjombake Rahisi
Waziri wa utumishi- Rafiki wa mkewe Rahisi
Yule njemba ya IKULU inayojidai kuwa ina zaidi ya 80m mifuko yote imejaza mabilioni ni jamaa wa RAHISI huyu aliyefanya nyumba takatifu kugeuka pango la wanyang'anyi!! Hii ni Historia haitarudiwa hata kama atatoka mwingine huko magambani!! SHAMMMMEEE!!
 
Hayo ndiyo maneno!! usitegemee tutawatafuta wajomba na marafiki wa kule msoga!! na kuendelea kuwalinda hata kwenye uozo!! Waziri wa Elimu - Mjombake Rahisi
Waziri wa utumishi- Rafiki wa mkewe Rahisi
Yule njemba ya IKULU inayojidai kuwa ina zaidi ya 80m mifuko yote imejaza mabilioni ni jamaa wa RAHISI huyu aliyefanya nyumba takatifu kugeuka pango la wanyang'anyi!! Hii ni Historia haitarudiwa hata kama atatoka mwingine huko magambani!! SHAMMMMEEE!!
Hata Ikulu bado
CHADEMA kichama tu mmejipangaje?
wakwe na madada mpaka nyumba ndogo
 
Ni kwa wenye akili finyu tu kama wewe ndio Kikwete kafanya makubwa. Nyimbo zake za ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, Big Results Now, Kilimo kwanza na Tumethubutu tumeweza na sasa tunasonga mbele hatuzisikii tena. Alidai wauza unga anawajua, majangili wa Tembo anawajua lakini akashindwa kuwachukulia hatua zozote zile. Rushwa mpaka Ikulu na Bungeni kauchuna tu. Kaongeza deni la Taifa kwa miaka 10 toka Trilioni 10 hadi Trilioni 40 kwa uongozi wake DHAIFU kila kitu nchini kinayumba ikiwemo uchumi shilingi imeshuka thamani toka $1=Tshs 1,169 hadi kufikia 2,150 kweli huyu kafanya makubwa!!


Mnaweweseka tu, JK kafanya makubwa na kamwe hamtakaa aje mwenye kufanya kama yeye.
 
Ngojeni zamu yenu Itafika mtajipanga Wachagga tupu km mlivyojipanga CHADEMA
kuanzia Mtaa, Wilaya,Mkoa IGP hadi mwanasheria Tundu Antipas

Hebu ficha ujinga wako kwapani, maana unatunukia
 
Nimemsikia Dokta mmoja kutoka REPOA akielezea juu ya 'political will', kwamba Dar es Salaam ni jiji ambalo limezidiwa tayari na shughuli za binadamu wakati halina huduma za jamii kama maji.
Sasa political will ilivyotumika kutoa gesi Mtwara kuileta Dar es Salaam/Bagamoyo ingelitumika hiyo hiyo kuleta maji kutoka Ruvu/Rufiji kuja Dar es Salaam ingelimuachia historia katika utawala wake.

Hee!! Hivi kumbe yale mamitaro makubwa yaliyochimbwa kuanzia Ruvu kupita Bunju, Boko, Tegeta, Makongo hadi Chuo cha Ardhi (ARU) na yale mabomba yake ni kwa ajili ya kupitisha maji machafu? Au initiative hizo ni kwa ajili ya nini?
 
Kwanini failure ya administration ya Rais Kikwete imeonekana wazi baada ya kustep down Lowassa? Kwa tafsiri isiyo rasmi mtu huru anaweza kuwa na mawazo huru kwamba huenda uwepo wa Lowasa ulikuwa unaziba sehemu kubwa ya uwajibikaji hafifu wa Rais...na ndiyo maana baada ya kuwajibika kwa yaliyotokea chini ya ofisi yake Rais akakosa mbadala sahihi na kipimo ni badilisha badilisha ya mawaziri since then!
 
Kwanini failure ya administration ya Rais Kikwete imeonekana wazi baada ya kustep down Lowassa? Kwa tafsiri isiyo rasmi mtu huru anaweza kuwa na mawazo huru kwamba huenda uwepo wa Lowasa ulikuwa unaziba sehemu kubwa ya uwajibikaji hafifu wa Rais...na ndiyo maana baada ya kuwajibika kwa yaliyotokea chini ya ofisi yake Rais akakosa mbadala sahihi na kipimo ni badilisha badilisha ya mawaziri since then!

kwa hiyo ndo unataka kutueleza nini?
 
Too transparency haina shida na ndio maana imetusaidia kujua vitu vingi sana ambavyo vikifanyika nyuma ya pazia ila kiukweli uongozi wake umekuwa mbovu kupitiliza
 
Leo MNAMTUKANA kwenye mitandao halafu mnasema amekua TOO TRANSPARENCE
  • Mlitaka awe kama Uhuru Kenyatta muanze kufuatiliwa humu JF?
  • Mnataka awe km M7 baadhi ya mitandao ifungwe
  • au Pauli K na vituo vyenu vya redio vifungwe
  • Kwanini msijipimishe na Korea kwenye utawala wa kiimla ukisinzia kwenye Hafla za Rais au Bunge ni KIFO
  • Zimbabwe
  • DRC
Kipindi cha Jakaya ni miezi 6 tu imebaki lakini kwa atakayetawala kwa AMANI km yeye hamtakaa mumpate
'TAKE MY NOTE'
.......afadhali ili mradi ajenge uchumi usio wa kwenye makabrasha
 
Nchi inapitia kipindi kibaya sana tangu uhuru. Nchi ikiongozwa na wahuni wasiokuwa serious na maisha ya watu lazima itaenda mrama. Uongozi wa nchi sio kitu cha kukimbilia ili upate sifa. Kwa ujumla awamu ya nne ni total failure. USELESS.
 
Hebu ficha ujinga wako kwapani, maana unatunukia
wiki hili BAVICHA na UKAWA mmejificha
ni nini kimewasibu huko chooni
mjitawadhe basi maana mmenuka vya kutosha
Mharo mnapiga kelele
Katiba Mnapiga kelele
Daftari mnapiga
Wenyeviti wa mitaa
TUMEWACHOKA kila siku JK JK JK
 
Nchi inapitia kipindi kibaya sana tangu uhuru. Nchi ikiongozwa na wahuni wasiokuwa serious na maisha ya watu lazima itaenda mrama. Uongozi wa nchi sio kitu cha kukimbilia ili upate sifa. Kwa ujumla awamu ya nne ni total failure. USELESS.

Umesahau ulikuwa unakwenda kwenu kwa wiki nzima leo waenda leo na kurudi na kufika leo unaleta upuuzi hapa.
 
Back
Top Bottom