Alinizungusha kumbe ana UKIMWI

HONGERA UJFIKA...WATU WAMEJIFUNZA ILA HII NI STORY YA KUTUNGA Hapa unaongea na watu waliokuzidi umri na wenye kuchanganua mambo wewe...
Nashangaa kwanini watu hawakuulizi maswali haya.
1.Tangu lini mtu mwanamke anaejua anaenda kufanya ngono eti aweke Dawa za ukimwi kwenye pochi,wakati akijua anaenda kufanya kitendo hicho?
2.Kwani hiyo dozi ya ukimwi ni 2*3??? yaani asubuhi mchana na jioni
kama ni mara moja kwa siku na ndivyo inavyojulikana mtu anameza either asubuhi au usiku kabla ya kulala...hivyo kabla hajaja kwako angeweza kuwa ameshameza si umesema amekuja jioni mkalala mpaka asubuhi?
so uwezekano Mkubwa wa kuja huku akiwa ameshameza dozi ni Mkubwa
UKWELI UTAKUWEKA HURU...
 
Mkuu mm niliuliza hilo swali kuhusu kumeza vidonge?
 
Hizo dawa zamwez mmoja alizokupa dokta kaz yake ninini
 
Mkuu kama ungekuwa wewe ungefanyaje? Alinichanganya sana. Maana alitakiwa kuniambia toka mwanzo kuwa ni HIV+
Wewe ungemvumiia hata ukalala nae bila kugongana. Kumfukuza haikuwa busara. Hukutumia busara. Unapaswa ukiri na umuombe msamaha kabla hajafa. Yeye alikupenda, alikujali but hukumjali hata kidogo na huenda hata nauli hukumpa.
 
Kwanza kabisa niseme wazi kuwa pamoja na kujipambanua una umri mkubwa kuliko mimi hilo sikubishii. Kumbuka huyu MTU dawa aliyokuwa anatumia ni 1B. 1B ni two times dose.
Na kwa misingi hiyo,kwa kuwa tulikubaliana atalala kwangu ni lazima abebe dawa zake kwa ajili ya usku na jioni.
 
Sasa nimepata jibu, kuna mtu aliuliza na uzi wake humu KWA NINI WANAWAKE WENGINE HULIA WAKATI WAKIGEGEDWA?? Kumbe!
 
Ungetoa na ujumbe kabisa, ukaguzi kwenye mikobo ya ke ni muhimu maana wengine hawana huruma.. Au bhas tu wakishakuwa tight wanatoa tu kama kulipa fadhila ila ndio hivyo tamu inageuka chungu.. Kilio na majuto!
 
Acha kukopi story za watu
Unatafuta likes kwa nguvu Sana...!!
 
Mungu bado anapenda uwepo wako hapa duniani na akupe maisha marefu yenye afya njema.

Mkuu mimi siyo mtunzi. Hii ni live bila chenga. Huyu dada mpaka navoandika Uzi huu yupo hoi kitandani maana kaugua fungus wa kwenye ubongo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…