Alinizungusha kumbe ana UKIMWI

Alinizungusha kumbe ana UKIMWI

Hii story ina mapungufu mengi ...Nitarudi kujadili

Kubali tu umetunga otherwise ujumbe wake ni muhimu
 
Ila ndugu tabia zinachochangiza kuupata si nizile zile?
Ni kweli. Ndo maana story za waathirika zinafanana. Kuna mama mmoja nilikutana naye kwenye kitengo(CTC) na bahati mbaya sana hakujua kitaa ninachoishi,basi siku Moja wakati naelekea kwenyw viwanja vya mazoezi nilimuona ana mshikaji Wangu ambaye huwa tunafanya naye mazoezi mida ya jioni. Basi sikutaka kumwambia kwa wakati huo huyu jamaa yangu jinsi navimfajamu yule dada........
To be continued ......
Nilipokuja kumweleza hali halisi yule jamaa alichanganyikiwa japo baadae nilimtuliza lakini it was too late maana tayari........
To be continued........ Haya mambo yapo sana.
 
Huyo mrembo alikuwa anakupenda sana mkuu.

Nilikuwa naomba wanawake na wanaume wote waige mfano huoo na si kuendelea kueneza kwa makusudi ili hali wanajijua wameukwaa.
Na kuukwaa sii ngono huenda alizaliwa nao.ulipaswa kumpa moyo sio kumfukuza ukizingatia alijitahidi sana kukulinda uroho wako ndio ulifanya condom ipasuke watu kama nyie ni kuwalaaniwa na usishangae utakufa na kumwacha namuombea kwa mungu hizo fungus zitapona
 
Ungetumia busara tu akalala hadi asubuhi but ungetumia akili mficho kwa kumwambia kondomu zimeisha tulale tu hadi kesho. Naamini kwa kuwa ulijua anaumwa hamu ya kusex usingekuwa nayo na huenda anaumwa kwa sababu ya unyanyapaa wako.
 
Any twambie msaada wako kwa sasa ulipomwona anaumwa kiasi hicho nini umemsaidia
 
Ni kweli. Ndo maana story za waathirika zinafanana. Kuna mama mmoja nilikutana naye kwenye kitengo(CTC) na bahati mbaya sana hakujua kitaa ninachoishi,basi siku Moja wakati naelekea kwenyw viwanja vya mazoezi nilimuona ana mshikaji Wangu ambaye huwa tunafanya naye mazoezi mida ya jioni. Basi sikutaka kumwambia kwa wakati huo huyu jamaa yangu jinsi navimfajamu yule dada........
To be continued ......
Nilipokuja kumweleza hali halisi yule jamaa alichanganyikiwa japo baadae nilimtuliza lakini it was too late maana tayari........
To be continued........ Haya mambo yapo sana.
Brother dawa ya ukimwi ipo...ni kuacha matendo yetu maovu na kufata njia zifaazo...kirusi cha ukimwi ni mimi...ni wewe...ni yule! Once tukiacha kusambaa kwa makusudi tunaweza kuiponya nchi!...Tunaweza kuiponya dunia! Ni vyemasana kujua kwamba unaweza kudhani unamkomoa mtu mmoja kumbe ukakuta umejimaliza na jamii yako...
Fikiria huyu rafiki yako...anaweza kuwa na mahusiano na dada yako(Mfano) Dada yako naye akawa na jamaa pembeni ambaye naye ana mke wake mwenye sifa unazopenda....unaona mzunguko huo? Mungu atunusuru!
 
Any twambie msaada wako kwa sasa ulipomwona anaumwa kiasi hicho nini umemsaidia
Alishaolewa na ana watoto watatu. Watoto hawana maambukizi. Nilikuta kaandikwa dawa zenye thamani ya 98000. Nilimlipia na kumpa 27000 ya matumizi.
 
1.Akina dada wakifahamu wameathirika wana huruma kwa akina baba,hawasemi ila huwakatalia kwa njia fulani fulani.Akina baba ni waambukizaji wa makusudi.
2.Tupende tusipende mipira ya kiume inasaidia sana kukinga maambukizi
3.Kwa wale wanaoona ugumu kutumia kinga wawe wananunua vipimo au mnaenda kupima kabla ya hilo tendo.
3.Tuache zinaa jamani!!
 
Kama kweli ulifanya nae na alikuwa muathirika na kama kweli condom ilipasuka basi wewe ni muathirika kapime tena...maana hivyo vidonge havitolewi na havigaiwi kwa njia hii uliyoisema na havipatikani kwa namna hiyo...

Kama story hii ni ya kweli basi wewe umeathirika, kinyume na hapo story umetunga.
Kuathirika sii rahisi kwa utafiti wa siku hizi mtu kama anatumia ARV kwa usahihi hawezi kumwambukiza mweza hata wakijamiana bila condom labda itokee michubuko kitu ambacho sio rahisi kama mmeandaana vizuri
 
Alishaolewa na ana watoto watatu. Watoto hawana maambukizi. Nilikuta kaandikwa dawa zenye thamani ya 98000. Nilimlipia na kumpa 27000 ya matumizi.
Thanks kwa ubinadamu wako Mkuu na uendelee kumjulia hali maana alikunusuru sana Mkuu na tumwombee hakika kwa ubinadamu na hofu ya ki-Mungu aliyoonyesha kwako.
 
Rais 2020 unakumbuka ARV za mdau wa mada moja ya Jana aiseee nyinyi watu bwana
 
Pole sana... Ila ni tamaa zako mwenyewe kwa nini umfukuze... Ni vibaya sana...
 
Wadada wana huruma kweli aisee umeongea point mkali
 
. kuna Binti ni form three kazaliwa na ukimwi(ni mrembi hatari) ila anaambukiza vvu kwa makusudi. Hii ni story ya kweli. Najua nikiileta hapa watu hawataamini. Watasema nimetunga. Mimi kila siku hizi cases nashughulika nazo na kutoa uahauri. Sasa watu wakiletewa story hapa ili wajifunze wanaleta maneno mengi.
Mkuu nimeona nia yako ila hawa watu naona wanakuchukulia poa sana.
 
Back
Top Bottom