SIM
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 1,796
- 1,308
Wabongo bwana...
Kuna mshikaji jana alileta uzi hapa anaulizia "hivi ni vidonge gani" na akavipiga picha...
Kwamba amevikuta kwenye mkoba wa demu wake...
Wewe raisi2020 ulikua na hamasa sana kutaka kujua story yake....
Anyway :
Kifupi ni kuwa umetumia story ya mshikaji kutengeneza story yako...


CC: GISAMBO