Fanya kazi yako kisomi zaidi.Fuata sheria na uwe tofauti na boda wote.Jitahidi wekeza upate boda yako mwenyewe halafu itumie hiyo kuandikia proposal upate mkopo benki ili upate boda nyingine.Ajiri kijana kadiri siku zinavyoenda fungua kampuni ya boda boda ajiri vijana wengi zaidi.Hakikisha unaaminika na watu wenye maduka makubwa au watoa huduma uwe unatoa deliveries.Weka matangazo ya kampuni yako na namba za simu watu wakupigie popote wanapohitaji usafiri na utoe huduma kwa uaminifu.
Baadaye huyo bwana atakuheshimu.